Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijawahi KULIWA hela YANGU kindezi kiasi hicho... akitaka hela NJOOO UIFATE,,, na ukija HUTOKI hivi hivi..... WANYASA WATALIWA HELA hadi wakomeHahahahhaha balaaaa
si tumeambiwa andika hasira zetu humu au!?..#POOVUU MKUU
Msaidie mwenzio kunituliza basi🙂Hahahahaha pole weeee
hebu nitafutie wa kunituliza basi cha mdeko!..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uza tiket tu hakuna namna hahahahaKuna mtu hapa nampanga anipe hela ya ticket anasema anatuma ticket. Kama vile kajua nataka kuila maana mtu miaka mitano anatongoza tu hachoki si bora nile tu hela yake maana inamuwasha kuitumia kwangu
aahh likes za shwaa sizitaki mie!..Engineer atapita si muda hapa!.Nimekuja kukudekeza
Asante sana, nimeliwa hela sana kwa njia hiyo kipindi nafakamia mapenziHahahah karibu
Ingekua rahisi ningechukia ticket niipige bei mimi. Najua sikosi laki 5 [emoji23][emoji23]Uza tiket tu hakuna namna hahahaha