Pole zao mungu awape mioyo hiyo hiyo watume tenaDuuuh nawapa pole sana wale wanaume wooote walioliwa nauli
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
KabisaaaaAiseee ama kweli mjini shule lazima ujifunze wajinga huwa awaishi
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Haaaa aiseee demu alifurahia sanahaya mambo mnayachukulia mzaha ila mie iliniuma sana anko wangu ni njagu mdg wake kafukuzwa shule ajamaliza ada anko katuma laki na nusu nauli toka bukoba hadi tabora
demu hakutokea, nilimdharau anko sana
Uko sahihi demi mfno mi demu wa kupita nakomaa nae sana staki kuliwa sana nawek dau zitto ,il if nimefall nkuwa vry slow ,sasa kinachonitoa kwenye reli viuhuni vya hiviHahaha yani unaweza kula na nauli ya mtu mwenye malengo ukajiharibia
hii ni hatariRACHEL WA JANGWANI
MIMI NLISHAKUSAMEHE
POLE KWA MATOKEO
KARMA IS ALWAYS A BITCH