Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

Dah ilishanitokea nakuja kuangalia hela imerudishwa kuanzia hapo nikitumiwa hela fastaaa M-PESA sitaki ujinga
Maaaaah mimi huwa nahamisha kwenye laini nyingine chap unajua wengine tunakaa apartment hata kuikuta mpesa siyo rahisi naweka mtandao mwingine

COMMENT YAKO NIMECHEKA HATARII
 
Maimuna wewe ni m-senge!
 
Inaanzaje kuuma. Tena ikikukuta mjini unafanya kuunganisha huko huko mpaka iishe.
Huwa nikiipata naruka ruka mpaka juu aiseee hapo kama wanne wote wamekutumia upo na rafiki yako akipiga sm anawasha sm huku anasema shwaaaaaaaah priiiii anahisi upo kwenye gari
 
Maaaaah mimi huwa nahamisha kwenye laini nyingine chap unajua wengine tunakaa apartment hata kuikuta mpesa siyo rahisi naweka mtandao mwingine

COMMENT YAKO NIMECHEKA HATARII
We acha tu ila umenifunza jambo hawa viumbe wanajifanya nao wamekuwa wajanja
 
Yan we Mariam kudadek kama unaona ujumbe huu ujue sikupendi kinaz!, umekula nauli angu halafa ume mute.. sijui usharud kwenu Pemba.! Mbavvvvv!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…