Hahaha Apology accepted...
Aisee elimu inahitajika.Write your reply...yaani mwanaume mzima na ndevu zangu nibebe maji nikienda kukojoa ? nimekuwa wa kuchuchumaaa Mimi
Ndo huko tunapatia UTIWord kwa kweli nahisi hata UTI tunatoa kwao muda mwingine
Usikutane na mtu ambar hajajisaidia haja ndogo muda mrefu, au mlevi hajasafisha utajuta
Ndo huko tunapatia UTI
Vile vyoo vya public tunatumia basi tu lakini ni vichafu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
😂😂😂Sisi tukisha temea hapo mate imetoka hiyo
ulivosema asilimia kubwa upo sahihi, hua nakereka sana na hiyo tabia mijitu mingine huenda mbali na kufikia kukojoa pembeni ya tundu la chooHabari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Mara chache sana kukuona umeandika mada na ukiandika ni kulalamika why?Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Kwenye Uislamu usafi wa kujisafisha ni kwa jinsia nzote labla kama sio MuislamuWrite your reply...bibie hawachi sio kwamba elimu inahitajika maungo tumeumbwa tofauti we ndo mwenye uhitaji wa maji ukikojoa sio sisi
ukifuta usipofuta haina effect kitundu chenyewe cha kutoa mkojo ni kidogo muundo wa penis ni kama bomba
mtoa mada YUPO sawa ukikoja mwaga maji choon .choo kisinuke ila kwa hilo la sisi kutawaza tukikojoa naona ni kama options yaani mwanaume nitawaze kama mwanamke
Vyoo vya chuo ni vichafu mno sio kwa me wala keNakumbuka wakati tunasoma chuo kuna muda ilikuwa tunavizia usiku wa saa saba ndo tunaenda washrooms za wadada.
Maana za kiume hali ilikuwa si hali.
Yani kama mimi, hapo tu ndiyo huwa nakubali kuwa uzuri wa nyumba ni choo tena chenye maji 24/7.Hahaaa Mimi kabla ya kupanga nyumba huwa naangalia washroom ikoje basi bila hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
UPI mmojawapo?Ni shida lakini mkojo ni mkojo man
Shame on youJieshimu wewe
Nakojoa nimesimama ujue ,so mkojo ukibaki kwenye sink haunihusu
Acheni kutoa maelekezo kwa wanaume itakuja fika siku mtataka kwenye mgegedo tuje na spirit ya kufutia shahawa tunazowamwagia
Vyoo vya chuo ni vichafu mno sio kwa me wala ke
Hasa kukiwa hamna maji kwa muda huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile nikiingia hua naflash ndoo nzima kwanza japo hua naona sijafanya kituNdo huko tunapatia UTI
Vile vyoo vya public tunatumia basi tu lakini ni vichafu .
Sent using Jamii Forums mobile app