Wanaume acheni huu uchafu

Wanaume acheni huu uchafu

Kubeba maji kwenda chooni, kutumia maji chooni ni utamaduni wa mataifa ya mashariki. Mataifa ya magharibi hayatumii maji chooni wakati wa kujisaidia. Wanatumia karatasi. Ndio maana waliojenga kwa kutumia mtindo wa magharibi hutakuta bomba la maji chooni. Kwa hiyo sio lazima.kwenda na maji chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Wawekee ndo ya maji hapo chooni, itasaidia sana
 
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Hahahah kwa hio viboksa vinanuka mkojo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubeba maji kwenda chooni, kutumia maji chooni ni utamaduni wa mataifa ya mashariki. Mataifa ya magharibi hayatumii maji chooni wakati wa kujisaidia. Wanatumia karatasi. Ndio maana waliojenga kwa kutumia mtindo wa magharibi hutakuta bomba la maji chooni. Kwa hiyo sio lazima.kwenda na maji chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
Out of topic
 
Niliwahi kwenda nyumba moja niliondoka na fangasi za korodani kwa sababu ya uchafu wa mikojo ya chooni!

Kila mtu anamwaga kojo mifangasi inajaa mule unaweza kuugua mpaka roho ikatoka!

Shughuli ya fangasi waulize pugu boys watakuelezea habari yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu waambie hawa wanaume wenzio jamani
 
Basi sawa, tutatafuta namna.

Kiukweli hili tatizo ni la kitaifa, ndiyo maana mara nyingi huwa tunaamua kukojoa kwenye majani ili kukwepa hizi kelele za usafi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi eeh kojoeni hukohuko kwenye majani
 
Back
Top Bottom