Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jieshimu weweUnamwaga pale ulipokojoa
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Nataka kujua hilo ni agizo jipya kutoka wizara ya afya katika mkakati wa kukabiliana na corona au?Kwa hiyo hutaki?
Kwahiyo ndio harufu ya fisi hutokea!??[emoji23][emoji23]Ni kweli Sasa mtu watoa haja yako humwagi maji harufu Kali inakera Sasa Nani akufanyie hivo lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe ukute kojo ni la mnywa pombeHabari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Unaweza bahati mbaya ukakuta choo kimetoka kutumiwa na mwanamke ukavutiwa kuwa yes choo si ndio hiki, ngoja liingie jidume dadekHahaaa Mimi kabla ya kupanga nyumba huwa naangalia washroom ikoje basi bila hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeHumu ndani sote tunaishi nyumba zenye maji mpaka chooni isipokuwa wewe, so hili bango lako bora ukabandike kwenye hicho choo mnachoshea.
Umeambiwa Ubebe maji acha kelele,YANI MI NIMEMMAINDI SANA HUYU KHANTWE!
WEKENI MAJI HUKO SISI HATUWEZI FANYA HIZO SHUGHULI ZA KWENDA NA MAJI KWA HAJA NDOGO,IKIWA TUTAENDA NA MAJI BASI HAKUNA HAJA YA KUITA HAJA NDOGO!!!!