Ahahaa.... Mkuu wewe ni mpekuzi hatari
Lakini si umemuelewa mleta mada lengo lake hasa ni nini?
Cc daby. Kama nakuona vile ulivyotoka nduki baada ya kuombwa tenMzee pm ya huyo mtoto haujawahi kuingia?
Hakuna cha huruma hapa mimi nimependeza kwasababu mmewangu anahela
hahaha nakukubali hapo tu
Atii?Sasa wewe ulitaka aje pm akafanyeje? [emoji41][emoji41]
Shukuru kuwa unatongozwa,
HAhahaaha aisee mnatia aibuuAseeh afazali maana si kwa aibu hizi
Hahaha
MmmhUkiona vyaelea ujue vimeundwa
Hata hiyo sintofahamu ya jinsia yake inatosha kabisa kukuonyesha huyu ni mpigaji na hapa yupo mawindoni. Amesawasubiri pm ameona hamtokei kwa hiyo kaamua kawafungulia uzi hili mjiongeze kuwa mwenzenu yuko biasharani.Ukisoma hiyo thread niliyoweka link anaact kama mwanaume, hii yuko kama mwanamke.
So nimeshindwa kuelewa lengo, ningejua kwanza jinsia ingekuwa rahisi labda.
aibu nimeona mm [emoji85]Kwa Sura Gani Labda Ya Kulipia 10k Pm.
Bitch I Wouldnt Pm You Even If You Were The Last And Only Woman In Jf. Msura Wa Kichaga *****. Tena Apo Chini Unakuta Miguu Kama Fito Alafu Mfua Kama Umepulizwa. Yani Shepu Namba 9,Alafu Unaleta Nyenyenyenye Hapa. Na Kiduka Icho Unauza Sijui Unalipwa 20k Kwa Mwezi So Umeamua Uanzishe Mtaji Kwa Kupiemiwa Jf. Bitch Please!!
Mkofia Huo Umeuvaa Unaonesha Kabisa Class Yako!!
Inatosha basi tuachie wenye sred cc espy et alHaya, si unajua shemeji nataka nikuoneshe kwamba na-care?
Hyo avatar ni yako? Hhh we mrembo kwelikweli hapa [emoji125][emoji125]PM kwakoOh naomba pm sms ukimpm nitoe 10000 atakujibu mie unajua hela yote nimeaacha bank, mara mie dume suruali sasa nifanyeje unapenda kukupetipeti with no money
hahaha nakukubali hapo tu
aibu nimeona mm
Huyo huyo nazani maiMkuu ulikwenda pm nini!! Mbona kama umepagawa hivi!!
Wachaga walikukosea nini!!
Hata hiyo sintofahamu ya jinsia yake inatosha kabisa kukuonyesha huyu ni mpigaji na hapa yupo mawindoni. Amesawasubiri pm ameona hamtokei kwa hiyo kaamua kawafungulia uzi hili mjiongeze kuwa mwenzenu yuko biasharani.
Alafu mbona comments zinazotoka kwa mwanamke real zinafahamika kabisa.