litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Yaani leo hii ni kawaida mno kukuta kijana kaifadhi nyimbo za kudhalilisha utu wa mwanamke kwenye memory card yake.
Jamani mbona wanawake hawatudhalilishi sisi? Ni wanaume ndiyo hufanya violence kwa wanawake. Ni stupidity.
Respect ni kitu cha bure. Its free, not sold.
It's very painful.
Jamani mbona wanawake hawatudhalilishi sisi? Ni wanaume ndiyo hufanya violence kwa wanawake. Ni stupidity.
Respect ni kitu cha bure. Its free, not sold.
It's very painful.