Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Kunamtu alinambia tuzae nikamwambia Sina kizazi Cha majaribio akaniacha[emoji2][emoji2][emoji2]

Wanaume ni walaghai mno
Hizi ndizo akili sahihi za kike nakupa hongera sana. Watoto wakike wote wangekuwa makini kiasi chako leo tungekuwa na idadi ndogo sana ya masingle mothers.

Mabinti wengi waliowahi kuzaa kwa pupa na kuwa Single mothers huwa wanakutana na watu sahihi wakati ikishakuwa too late maana tayari wanamajukumu ya uzazi na watoto wa nje ya ndoa.
 
Ukiheshimu mbegu zako huwezi zigawa hovyo. Wewe unajua kuwa huna mpango nae, tumia kinga au hakikisha kameza P2 au fanya lolote asiwe mama wa mwanao.
Very true. Why uwe irresponsible na mbegu zako unapoziweka na ni za thamani sana.

Natamani ifike wakati wanawake wapige magoti kuomba kupewa mimba na wanaume wawaambie sizai na mwanamke asiye bikra ili wanawake waanze rejea katika misingi na kutochezea miili yao kama hivi sasa.
 
Mimi huwa sijali kuhusu mwanamke, yupo siku za hatari, yupo siku salama kama sitaki kuzaa nae nitatumia kinga au atameza P2 kama ikitokea ilipasuka. Akili za wanawake wanazijua wenyewe huwezi risk kumwachia mbegu, anaweza kukupa mshtuko.
Kabisa. Anakutumia picha ya mtoto mnafanana balaa kama majogoo halafu ameshaanza kutembea wewe hata ulishasahau kuwa mlikutana.
 
Sasa kabla haujatomba lazima ujue kuwa pale nikizama sitoboi why unazama?

Ni sawa na kuvuka na pikipiki kwenye mto wenye maji mengi wakati wa mvua. Usiseme nitajua nikifika katikati. Unatazama kwa macho tu unajua kuwa huu mto mimi sitavuka salama haya maji yana nguvu sana yatanizoa na pikipiki yangu.
 
Sasa Mwanamke kashafeli nafasi yake na hilo sote tunajua ila mziki unabakia namna gani tunaplay safe na wanawake wazembe tuliopewa kizazi hiki.
 
Me namtomba bila kinga na bao namwagia nje hapati kitu.
 
Mimi naona suluishi ni mwanaume kuwa makini tu na mtu wa kuzaa naye,kama imetokea umepata mtoto na mwanamke hakuna kumuacha upambane naye mlee mtoto/ watoto wenu,hakuna haja ya kutesa watoto ambao hawana mskosa kwa starehe zenu,period
Kabisa. Hapa lengo la huu mjadala ni kutetea mtoto asipatwe na majanga.
 
Huu ni ukweli ndugu,tatizo watu wanafanya maamuzi pasipo kuwaza matokeo yake,mama anamkimbua baba au baba anamkimbia mama ili kumkomoa bila kufikiria kuwa wanaoathirika ni watoto kwa kupata malezi ya upande mmoja tu,Mungu atusaidie
Watoto wengi waliozaliwa miaka hii wanaishi maisha ya baba kule mama huku, hii kitu ni mbaya sana kwa makuzi ya kiakili ya watoto.
 
Very true. Ni hawa vilaza tu wanalalamika kuwa wanawake wamewategea.
Unategewaje mimba dunia ya leo na mipira imejaa na mip2 kibao? Unless uwezo wako wa maamuzi juu ya maisha yako ya uzazi unategemea maamuzi ya mwanamke.
 
Wengi hawajaelewa hoja ya mtoa mada hoja ni mtoto siyo mimba mtoto wako unamtunzaje?


1: Wanaume huwaaminisha wanawake KWENYE lengo ndiyo maana mwanamke hukosa nguvu ya kutoa mimba anaamini ataolewa

2: Mtoto akiwa kwa baba yake ndo aishi kwa raha kuliko akiwa kwa mama trust me hata kama wanapitia MAISHA magumu kiaje ila mwanamke akipitia gumu moja atamweleza mwanaye mauwongo yote

3: Unamlilia nani babako yuko KWENYE ujinga na watu wake
4: Babako hakuipenda mimba
5: babako hakutolei hata kumi hapa kula kinachopatikana
6:KWENYE jamii husema yeye ndo yeye (sifa)
Nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…