Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Hakuna mimba ya bahati mbaya isipokuwa ya kubakwa, au kwa minor, minor anaweza asielewe mzunguko vizuri au asielewe njia za uzazi wa mpango.

Binafsi ningemuomba metal mada aandike uzi wenye heading vise versa na hiyo ya sasa.
Ntalifanyia kazi hilo kwasababu naona wadada wanahisi wao hawana hatia.
 
True, very true mzee.
 
Very true. Shida familia za sasa zinachangamoto nyingi sana za kiustawi. Watu wanawaza sana pesa. Wanawake vichwa vipo speed sana na pesa ukimuuliza unachowahi hata hajielewi kama mwizi anaetaka kutoroka.
 
Familia ambayo haina baba wahuni huwa wanatembeza pesa tu hapo ndani hadi kinaeleweka. Kwanza bi wakubwa huwa wanakuwa wapole wakiona mwanaume yupo vema. Na kuna muda hawa wamama wanawafichia mabinti zao siri za wanaume hata sita kwa wakati m'moja mama anakuwa mshiriki wa kuficha uhaini wa binti yake kwenye tabia zake za hovyo.
 
Experience.kama mama ni sawa ataweza zuia ila sio kwa kila wakati kwa sababu maisha ni hayatabiriki so ni bora wote kutunzana na kutumia condom au mwanaume anywe vidonge vyakutompa mwanamke mimba hadi pale aoe nke amtakaye.
 
Kupata mimba ni uamuzi wa mwanamke.

Asipokupa utampaje mimba?

Wanawake waache kujirahisisha kwanza kwa wanaume ndipo hili suala litapungua au muhusika ataweza kujiepusha.

Mwanamke akisaidiwa kitu kidogo tu then anaanza kuwaza kulipa fadhila kwa kumbless, kwani fadhila ni kwa kumbless tu, hakuna fadhila za namna nyingine?

Kama ameamua kubless basi awe tayari na matokeo yake.

Hivi wewe unayemiliki shamba unampa mtu kwa utashi wako ili alime halafu baadae uanze kumlaumu? hiyo ni akili kweli?
 
Wanawake huwa wanatabia ya kuigiza.
U-single mother hutokea kwa namna nyingi unaweza kumuoa, ukapata mtoto halafu ukagundua mkeo anagongwa na jamaa huko nje.
Unapogundua kuwa mwanamke wako analeta mambo Meusi usipoteze muda ukachoma hisia zako ambazo unatakiwa kuzitumia kupenda wewe ukazitumia kuumia.

Mtoto wa kike akileta habari za makando chukua mtoto badilisha mlezi hata kama yeye yupo vizuri. Kitendo cha kuzingua baba wa mtoto tayari ni mwanzo wa kuzorotesha malezi maana atajenga mazingira ya mtoto kulelewa na baba mwingine so sidhani kama unataka hilo.

Mkishindwana beba mtoto wako aende anakopendwa akapate watoto wengine huko. Wewe chukua mtoto tafuta house girl au kama unabahati ya kupata mwanamke mpya akusaidie kulea mtoto wako unalea fresh tu bila shida hadi anafika umri wa kuongea nae na mkaelewana vema huko kuanzia miaka 6 kuendelea utaweza ishi nae hata wawili tu.
 
Hapa unakuta hujamdanganya ila baada tu ya kuzaa mkaishi kidogo mwanamke anabadilika apo unagundua ni bomu unachimba.
Unaondoka na mtoto wako mzee unaogopa kusepa na mtoto?

Point ya msingi ni kutoacha damu yako iteseke na unaweza kuitetea. Yule ni mtoto wako huwezi shindwa mpambania.
 
Paragraph yangu ya kwanza umeisoma? Omba sana kwenye maisha yako hata ukichepuka husikutane na mwanamke mlozi (sijui kama unaamini vitu kama hivi,ila vipo na watu wanafanyiwa hasa wanaume walio kwenye ndoa).
Yeah hiyo ipo sana. Ila jambo la msingi ni kuwa usalama tunajikadiria wenyewe.
 
Wapo wanakutegeshea wenyew...unamuuliza kabisa kama yupo kweny red line yeye anajibu hapana...Leo azae na ww
Usimuulize mwanamke kuhusu kalenda yake. Wewe jua kuchukua tahadhari kulinda uzao wako.

Kama umekutana nae tu hamuishi wote tumia kinga maana kuna magonjwa pia.

Kama ni mwanamke mnaonana mara kwa mara tayari utakuwa unajua cycle yake ya ovulation.

Nadhani ni umakini tu inahitajika. Usijiachie kama upo salama kihivyo.
 
Amezaa na bint wakazi wake rejea kichwa cha thread
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] sijajua hiyo skendo mzee. Kumbe jamaa nae na principles zake zile anazingua huku ground?
 
Experience.kama mama ni sawa ataweza zuia ila sio kwa kila wakati kwa sababu maisha ni hayatabiriki so ni bora wote kutunzana na kutumia condom au mwanaume anywe vidonge vyakutompa mwanamke mimba hadi pale aoe nke amtakaye.
Kwann ulale na mtu ambaye hauna mpango wa kuoa halafu mnaigizia mnapendana. Kama vipi si unavuta kahaba unapiga inaisha.
 
Mfano serikali wakabidhi mamlaka tra ya kufuatilia wanaume watoe matunzo ya mtoto kwa ulazima na ukishindwa utachezea makato kila kona kuanzia mshahara, ukitumiwa muamala, popote, ukiomba mkopo ukitoka tu unapigwa panga.

Halafu tuone kama itakuwa ni uamuzi wa mwanamke tu kubeba mimba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nadhani kuna swala la kujitambua na kutoruhusu mbegu zako zisambae kama unamwaga takataka vile
 
Hapo unataka upromote ngono sasa.

Mwanamke akijua atanufaika kwa namna hiyo mbona ataitafuta mimba kwa udi na uvumba.

Ukweli utabaki pale pale, suala la mimba ni uamuzi wa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…