Wanaume acheni matumizi nyumbani mtapigiwa

Subili kidg narudi kutoa tamko.
 
Mwanamke wa mtu akianza kukuelezea mabaya ya mumewe ukamsikiliza ukamuonea huruma utaharibu, ~Denis Mpagaze
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vitisho tu. Mwache mwamba asuuze rungu
 
Kwahiyo na yule Dc wa kisarawe enzi za ujima mzee baba alikuwa haachi pesa ya matumizi?, Mbona mbubusi ilikuwa inapigwa vunja kabati?. Uhuni na umalaya ni nature ya baadhi ya wanawake, kuna wanawake ni wakishua lakini wanapasuka kwa mabaharia...... Achana na kiumbe mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…