Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mwache tuUnaandaliwa mazingira ya kupakwa vaseline. Wewe furahia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache tuUnaandaliwa mazingira ya kupakwa vaseline. Wewe furahia tu.
Umeongea vyemasema wanawake wengine sio wavumilivu ukute Hali ya mme wake anaijua .....Kuna muda kma sisi wanaume Mambo yanaenda vibaya
Nakuambia sababu mi ndo huwa nawatumia wadada namna hiyo... Then nakuja na jamaa zangu na kopo kubwa la Vaseline... Wale jamaa wanakupaka mafuta mengi... Mwingine anachukua video. Hapo ndo basi tena....so epuka sana hiyo mitego. Usije sema hukuambiwa.Wapi nimefurahia hapo kwenye uzi.
Ila usidai mtoto kama atapata mimba nyau weweKuna mke wa mtu anakujaga kupikia kwangu jana nimempa kipande cha samaki jumamosi namaliza mchezo maombi yenu
NB sitatumia condom
KATAA CONDOM
Wewe tena utauponza tajiri
Mimi sijilogi huwa nampa ushauri sna sana nitamkumbatia na kumpa pole
Anataka kukuingiza kingi tu. Hii ni gea wanayotumia wanawake wenye kuchapuka. Ni njia zao za kutongoza wanaume. Hawa hawa ukiwaachia laki kila siku ni watatafuta bwege wa kumwingia.Wanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani ameshindwa kumwambia Boss wake?
Sitaki mazoea kabisa na SUMU mambo ya kufahamiana yaishie hapo.
Yaani inawezekana mumewe yupo ktk wakati mgumu,wamepisha kauli au anataka atumie njia hiyo ili akunase kuwa,makiniWanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani ameshindwa kumwambia Boss wake?
Sitaki mazoea kabisa na SUMU mambo ya kufahamiana yaishie hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana si nmeokoka tayari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mama wa watu ameisha
kama mkeo hana Mungu moyoni, hata ukiacha milioni ataitumia kuhongea serengeti boys tu. usidanganyike.Wanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani ameshindwa kumwambia Boss wake?
Sitaki mazoea kabisa na SUMU mambo ya kufahamiana yaishie hapo.
Aha kumbe nikajua pepo kaludi tuanze kukemea keshoo ufenge usile mpaka ijumaa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1]Bro hapa chakula home kitamwagwa alafu ni adim sana
Labda niwe nafunga wakati wa kulala au sio
Alafu kuna kitu nimekiona sitaki watu wa mwandiko wafike huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]
Mimi nisha wazoea hao mimi mwalimu wangu alikuwa kipofu sasa ningejuaje kuandika vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe funga mchana upunguze kitambi iko utaki pic kali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we umeninyia binamu
Alafu acha kuniingiza majaribuni.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tushafanya maombi tayar
Dah nishasau ase [emoji23][emoji23][emoji23] pole kumbe pic kali ushasema hukuli tena wewe