Mchaga Tajiri
Member
- Mar 14, 2023
- 10
- 16
Bado baadhi ya wanaume wanashindwa kupima afya zao wakitegemea majibu kutoka kwa wenza wao.
Hali hii imekuwa ikiwaumiza wanawake wengi hasa wanawake wajawazito bila ya kujua wafanye nini Ili kuwafanya wenzao wao wawe na muamko wa kupima afya zao.
"Nilipomuambia mume wangu inahitajika mimi na yeye kwenda kupima afya zetu aliniambia kwamba mimi nikiwa mzima na yeye atakuwa mzima," alisema mama huyo ambaye ni mjamzito.
Mara kadhaa wanaume wamekuwa wakihimizwa kuchunguza afya zao lakini wamekuwa na muako mdogo, wengi wao wakiwa na kisingizio cha kwamba wako na majukumu mengi ya kazi na kadhalika.
Picha kutoka maktaba
Hali hii imekuwa ikiwaumiza wanawake wengi hasa wanawake wajawazito bila ya kujua wafanye nini Ili kuwafanya wenzao wao wawe na muamko wa kupima afya zao.
"Nilipomuambia mume wangu inahitajika mimi na yeye kwenda kupima afya zetu aliniambia kwamba mimi nikiwa mzima na yeye atakuwa mzima," alisema mama huyo ambaye ni mjamzito.
Mara kadhaa wanaume wamekuwa wakihimizwa kuchunguza afya zao lakini wamekuwa na muako mdogo, wengi wao wakiwa na kisingizio cha kwamba wako na majukumu mengi ya kazi na kadhalika.
Picha kutoka maktaba