Wanaume akili zao......

once a cheater always a cheater..........................hakuna cha kusema kuna unafuu..........................ukimsogezea mzee wako vvu yaani huoni umetelekeza watoto kiujumla na kuwaachia ukiwa.............
Kweli ni vema kuangalia boriti machoni petu kwanza kuliko kulalamikia wenzetu
 
<br />
<br />
sio kwamba vichwa vya wanaume havina akili,bali tuna vichwa viwili ambapo kimoja kikizidiwa kingine kinakuwa off line kufikiri.je wewe unafikiri ni kipi kat ya hivyo vichwa ndio source?

Kichwa cha juu mkuu ndiyo source
 
Mungu awe kati ya wanawake na wanaume. Utu uko wapi Mungu wetu? Speechless
 
Wanaume na wanawake wote hawana akili.
Mimi simoooo.
 
<br />
<br />
Una watoto wangapi? Naomba uni PM kwa faida yako pekee!!
 

Asante mkuuu..
umejibu vema
 
wanaume wana akili sana, tatizo wanawake vichwa vigumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…