Wanaume akili zao......

Wanaume akili zao......

Jestina

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
4,828
Reaction score
1,712
hazina akili!!!
utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................

na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????

ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!
 
Jestina; hazina akili!!! utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................

na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????

ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!


Na wewe unafaa kutandikwa bakora kwa kuwa cheater maana nayo siyo tabia njeama japo kuwa mdomoni mwako unasound kama kitu cha kawaida! Hauna unafuu kati yako na hayo makundi yenye tabia uliyoyahainisha hapo juu.

 
Bajabiri,hao wamama ni wachache compared to wanaume na mara nyingi ni uchumi au masomo ndio yanapelekea kufanya hivyo na sio wanawake(vimada) kama ilivyo kwa wanaume kutelekeza familia zao...
 
Jestina; hazina akili!!! utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................

na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????

ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!


Na wewe unafaa kutandikwa bakora kwa kuwa cheater maana nayo siyo tabia njeama japo kuwa mdomoni mwako unasound kama kitu cha kawaida! Hauna unafuu kati yako na hayo makundi yenye tabia uliyoyahainisha hapo juu.


mmmnh mbona limekugusa sana,umejuaje mie sina unafuu?bado sijaitekeleza familia yangu kwa penzi la nje......kama wewe upo kny kundi nililotaja pole! naisikitikia familia yako na ningekujua ningekutandika bakora lol
 
Vp,,, wamekupiga tukio nini!!
FREE MARKET mamaa,
Kama ushindani huuwezi tulia wengine wajifaidie!
 
hazina akili!!!

Wewe unazo?

utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???

Unaishi wapi wewe? Chini ya mwamba? Wanawake wangapi wanawatelekeza watoto wao? Wengine wanavitupa vitoto vyao vilivyo vichanga majalalani. Na hao wanaotoa mimba kwa sababu ya 'convinience' je? Stop being ignorant.

mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???

Kwanza kula gwala kwa kukiri kuwa na nyinyi mnachiti. Kuna baadhi ya wanawake wako kwenye denial kuhusiana na hilo. Pili, hata wanawake wapo wanaowatekeleza watoto wao wa kuwazaa. Wengine wanawaua kabisa. Kwa hiyo kwenye hilo wanawake are not excused.

na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????

Hakuna mtu mzima mwenye akili zake timamu anayetekwa na mwanamke. Mapenzi ni hiari (ingawa kuna watu hawaujui ukweli huu). Kama baba ameamua kutokuwajali wanae kisa mwanamke, basi huyo ni kaamua kufanya hivyo kwa utashi wake mwenyewe. Hapo mwanamke si wa kulaumiwa. Wa kubeba lawama zote ni baba mtelekezaji.

ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!

Hapo nakuunga mkono. All deadbeat dads and moms need to get their asses whooped.
 
kwa hiyo we unashauri wanawake na wanaume wacheat ila wasitelekeze familia zao sio?
 
Jestina; mmmnh mbona limekugusa sana,umejuaje mie sina unafuu?bado sijaitekeleza familia yangu kwa penzi la nje......kama wewe upo kny kundi nililotaja pole! naisikitikia familia yako na ningekujua ningekutandika bakora lol

Hujanigusa hata kidogo, na wala kwenye hayo makundi uliyoyataja simo. Nimesema hauna unafuu kutokana na useme wako kuwa unacheat amabao sikuusupport. Familia yangu ina furahaa na Amani maana baba na mama tunajuwa wajibu wetu sote. Ukisema unitandike bakora kwa kigezo cha kutelekeza familia mke wangu atakushangaa maana anajuwa namtake care yeye na watoto kama baba na mume mwema
 
Wanawake kibao wanatelekeza familia zao kwa mapenzi ya nje ....acha kuwapa utakatifu wasio watakitifu!!!
 
Hivi yule mzee kifimbo cheza wa kwenye gazeti la sani yuko wapi? angeweza kukusaidia kwenye zoezi la kuchapa bakora
 
Bora wababa wanotelekeza familia zao kuliko wanawake wanaowaua kwa kuwatupa chooni kwani ni ukatili wa hali ya juu
 
jamani maisha ni mafupi sana, mi nikipata kimada anaeweza kumzidi mamsapu wangu kwenye mavituuuz, waalaaaaaaah naitelekeza familia! Kila mtu na maisha yake bwana alaaaaaa! Kama mama yao hakupi penzi anakupa karaha anategemea nn? Ni kuachana nao tu! Mama ndio anaejenga na kubomoa familia yake hata kwenye maandiko ipo hiyo!
 
jamani maisha ni mafupi sana, mi nikipata kimada anaeweza kumzidi mamsapu wangu kwenye mavituuuz, waalaaaaaaah naitelekeza familia! Kila mtu na maisha yake bwana alaaaaaa! Kama mama yao hakupi penzi anakupa karaha anategemea nn? Ni kuachana nao tu! Mama ndio anaejenga na kubomoa familia yake hata kwenye maandiko ipo hiyo!
<br />
<br />
are u sure mke wako anaridhika na mavituz unayompa?
 
jamani maisha ni mafupi sana, mi nikipata kimada anaeweza kumzidi mamsapu wangu kwenye mavituuuz, waalaaaaaaah naitelekeza familia! Kila mtu na maisha yake bwana alaaaaaa! Kama mama yao hakupi penzi anakupa karaha anategemea nn? Ni kuachana nao tu! Mama ndio anaejenga na kubomoa familia yake hata kwenye maandiko ipo hiyo!
Mungu na akusamehe bure, na tena akuepushe na huyo shetani aliyeanza kukunyemelea... Na mkeo je akipata wa kumridhisha zaidi yako akutelekeze wewe na watoto? Manake hapo ulipo una uhakika gani kama ameridhika na wewe?..
 
hazina akili!!!<br />
utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???<br />
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................<br />
<br />
na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????<br />
<br />
ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!
<br />
<br />
sio kwamba vichwa vya wanaume havina akili,bali tuna vichwa viwili ambapo kimoja kikizidiwa kingine kinakuwa off line kufikiri.je wewe unafikiri ni kipi kat ya hivyo vichwa ndio source?
 
hazina akili!!!
utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................

na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????

ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!

once a cheater always a cheater..........................hakuna cha kusema kuna unafuu..........................ukimsogezea mzee wako vvu yaani huoni umetelekeza watoto kiujumla na kuwaachia ukiwa.............
 
Back
Top Bottom