ifikie mahali sasa watu waende na wakati,mwanaume akitongozwa na mwanamke anaona kama vile mkosi,wakati mwingine anahisi au huyu mwanamke jini,au katumwa,au ana ngoma anataka kuniambukiza,au usalama wa taifa anatafuta kuning'oa kucha,au malaya.wanaume badilikeni hii ni karne ya kidigitari kila mtu anahitaji kujiexpress feeling zake kwa mwezake.ukitongozwa toa ushirikiano kwa anayekutongoza kikamilifu.express yourself !!!!
Teh teh kutongoza kipaji ati sasa kama unaenda unamtongoza men uku wang'ata vidole wafikiri atakuelewa kweli hahahahah
...can you start with me!Ifikie mahali sasa watu waende na wakati,mwanaume akitongozwa na mwanamke anaona kama vile mkosi,wakati mwingine anahisi au huyu mwanamke jini,au katumwa,au ana ngoma anataka kuniambukiza,au usalama wa taifa anatafuta kuning'oa kucha,au malaya.
wanaume badilikeni hii ni karne ya kidigitari kila mtu anahitaji kujiexpress feeling zake kwa mwezake.
Ukitongozwa toa ushirikiano kwa anayekutongoza kikamilifu.
Express yourself !!!!
Mmmmmmmmmh! Hivi unaanzaje kumtongoza dume lenye midevu? We fisi umkabidhi bucha hata kama kashiba atataka kuonja!
Mimi nashauri bora tu umtege tege tu mwanaume, unatoa invitation to treaty kiutu uzima, asipokusoma basi!
Mmmmmmmmmh! Hivi unaanzaje kumtongoza dume lenye midevu? We fisi umkabidhi bucha hata kama kashiba atataka kuonja!
Mimi nashauri bora tu umtege tege tu mwanaume, unatoa invitation to treaty kiutu uzima, asipokusoma basi!
Whaaaaaaaat? I trust my man! We jishebedue huambilii hata FREE P za kupooza koo kidogo! Hahahaaaaaaa!Hahahah umenchekesha kweli....ngoja na mimi nianze kufunguka ila naanza na mumeo lol...