Wanaume fanyeni kazi ya kuwanyonya matiti wake zenu

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Muda mchache ujao wanawake watakua wakiwalipa wanaume ili wanyonywe matiti.

Kutokana na report ya mtandao wa BBC madaktari wanasema wanawake wanapunguza uwezekano wa kupata kansa ya matiti kwa kunyonywa sana matiti yao na kwa nguvu.

Kunyonywa Matiti kunapunguza hatari ambayo hutengeneza uvimbe ambao husababisha kansa ya matiti.

Matiti yanatakiwa yanyonywe mara kwa mara kwa kadri iwezekanvyo. Wasaidie wanawake zenu kupambana na kansa ya matiti.

Wanaume fanyeni kazi yenu nyonyeni matiti sasa, na wanawake kuweni wepesi kuachia kunyonywa.

Hii ni meseji toka wizara ya afya kusaidia mapambano dhidi ya kansa ya matiti.
 
Huu naona mtego sasa mwanamke aokoke na kansa ya matiti mwanaume anapata kansa ya koo. Nitakula papuchi tu, nzi kufa kidondani sio hasara kabisa.😉
Hapana, afahali unyonye matiti ya mkeo, umusaidie na pia unaimalisha ndoa, ila angalia Sana, chumvini usijaribu, labda kama mkeo mmepima awe hana uwezekano wa kuwa na vimelea vinavyisababisha kansa ya mlango wa kizazi, hivi ndiyo vinauwezekana wa kusababisha kansa ya koo, take care.
 
Hii ni fursa. Naanzisha kitengo maalum , sehemu maalum ambapo wanaume watakuwa wanakuja kuwanyonya wanawake matiti ili kuwaepusha na kansa. Wanawake wanaotaka kunyonywa wanalipia na wanaume wanaokuja kutoa msaada wa kunyonya wanalipia pia.
 
Tanaweza kuona japo kapicha mkuu...sisi wengine hatujawahi ona hiyo!
 
Nawakaribisha kwa mikono miwili, njooni sibagui dini kabila rangi umri ilimrad awe wa jinsia ya ke, hizi ndizo kazi zinazotuweka mjini bana
 
Kwa hyo kutakuwa na fursa ya biashara ya sidiria maana mengi yatakuwa na jeki maana yatakuwa ndala,maana hayanyonywi sana lakini wengi tena watoto wadogo wakivua tu yanafika kwenye kitovu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…