Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Tutalala sote kwenye maboksi... na baridi hii jamani, Mungu atunusuru.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tutakuja kaa wote jinsi nakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutalala sote kwenye maboksi... na baridi hii jamani, Mungu atunusuru.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tutakuja kaa wote jinsi nakupenda
Honey niliapa Kwa Shida Na Raha japo Shida ya kujitakia I will babeTutalala sote kwenye maboksi... na baridi hii jamani, Mungu atunusuru.
hahahahaahahahaNa kansa ya tezi dume wanawake wanatakiwa wanyonye nini ?
@Hkigwangallah anajua hii issue?
nipo tayari kukuepusha na maradhi ya saratani. yani badala ya kwenda CCBRT we unakuja kwangu muda wowote nakukinga...freely kabisa.Napitaa,inawahusu wanaume hii
Teh!nipo tayari kukuepusha na maradhi ya saratani. yani badala ya kwenda CCBRT we unakuja kwangu muda wowote nakukinga...freely kabisa.
HahahahNawakaribisha kwa mikono miwili, njooni sibagui dini kabila rangi umri ilimrad awe wa jinsia ya ke, hizi ndizo kazi zinazotuweka mjini bana
Hahahahahahahhahahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]nina bibi yangu almost 80 yrs anahitaji huduma hiyo unapatikana wapi?
sasa hapo anakuwa kalipwa nani?Yaani upate tu mteremko hivi hivi,no way.Hii ni fursa. Naanzisha kitengo maalum , sehemu maalum ambapo wanaume watakuwa wanakuja kuwanyonya wanawake matiti ili kuwaepusha na kansa. Wanawake wanaotaka kunyonywa wanalipia na wanaume wanaokuja kutoa msaada wa kunyonya wanalipia pia.
Nalipwa mimi mwenye kitengo.sasa hapo anakuwa kalipwa nani?Yaani upate tu mteremko hivi hivi,no way.
hupati mtu,wanaume wataojitolea bure.Na kijana akishapata hiyo fursa basi mchezo hauishii hapoNalipwa mimi mwenye kitengo.
Duh! Mkuu umeniogopesha aisee nitaacha kbs kwenda chumviniHapana, afahali unyonye matiti ya mkeo, umusaidie na pia unaimalisha ndoa, ila angalia Sana, chumvini usijaribu, labda kama mkeo mmepima awe hana uwezekano wa kuwa na vimelea vinavyisababisha kansa ya mlango wa kizazi, hivi ndiyo vinauwezekana wa kusababisha kansa ya koo, take care.
Niuzie hisa ktk hichi kitengo mkuu tuwe business partnersHii ni fursa. Naanzisha kitengo maalum , sehemu maalum ambapo wanaume watakuwa wanakuja kuwanyonya wanawake matiti ili kuwaepusha na kansa. Wanawake wanaotaka kunyonywa wanalipia na wanaume wanaokuja kutoa msaada wa kunyonya wanalipia pia.
Vyote sawaHiyo ndio tiba, au kinga?
Poa poa mkuu.Niuzie hisa ktk hichi kitengo mkuu tuwe business partners
Duuh! Hii kaliMuda mchache ujao wanawake watakua wakiwalipa wanaume ili wanyonywe matiti.
Kutokana na report ya mtandao wa BBC madaktari wanasema wanawake wanapunguza uwezekano wa kupata kansa ya matiti kwa kunyonywa sana matiti yao na kwa nguvu.
Kunyonywa Matiti kunapunguza hatari ambayo hutengeneza uvimbe ambao husababisha kansa ya matiti.
Matiti yanatakiwa yanyonywe mara kwa mara kwa kadri iwezekanvyo. Wasaidie wanawake zenu kupambana na kansa ya matiti.
Wanaume fanyeni kazi yenu nyonyeni matiti sasa, na wanawake kuweni wepesi kuachia kunyonywa.
Hii ni meseji toka wizara ya afya kusaidia mapambano dhidi ya kansa ya matiti.