Wanaume fanyeni kazi ya kuwanyonya matiti wake zenu

Wanaume fanyeni kazi ya kuwanyonya matiti wake zenu

heheheeee next tym utackia tu kua kuzama chumvini kunadumisha ubora wa papuchi.

na hawa wadada unadhan watalipa wanaume??? au wataishia kunyonYana tu wao kwa wao
 
Hii ni fursa. Naanzisha kitengo maalum , sehemu maalum ambapo wanaume watakuwa wanakuja kuwanyonya wanawake matiti ili kuwaepusha na kansa. Wanawake wanaotaka kunyonywa wanalipia na wanaume wanaokuja kutoa msaada wa kunyonya wanalipia pia.
sasa hapo anakuwa kalipwa nani?Yaani upate tu mteremko hivi hivi,no way.
 
Hapana, afahali unyonye matiti ya mkeo, umusaidie na pia unaimalisha ndoa, ila angalia Sana, chumvini usijaribu, labda kama mkeo mmepima awe hana uwezekano wa kuwa na vimelea vinavyisababisha kansa ya mlango wa kizazi, hivi ndiyo vinauwezekana wa kusababisha kansa ya koo, take care.
Duh! Mkuu umeniogopesha aisee nitaacha kbs kwenda chumvini
 
Hii ni fursa. Naanzisha kitengo maalum , sehemu maalum ambapo wanaume watakuwa wanakuja kuwanyonya wanawake matiti ili kuwaepusha na kansa. Wanawake wanaotaka kunyonywa wanalipia na wanaume wanaokuja kutoa msaada wa kunyonya wanalipia pia.
Niuzie hisa ktk hichi kitengo mkuu tuwe business partners
 
Muda mchache ujao wanawake watakua wakiwalipa wanaume ili wanyonywe matiti.

Kutokana na report ya mtandao wa BBC madaktari wanasema wanawake wanapunguza uwezekano wa kupata kansa ya matiti kwa kunyonywa sana matiti yao na kwa nguvu.

Kunyonywa Matiti kunapunguza hatari ambayo hutengeneza uvimbe ambao husababisha kansa ya matiti.

Matiti yanatakiwa yanyonywe mara kwa mara kwa kadri iwezekanvyo. Wasaidie wanawake zenu kupambana na kansa ya matiti.

Wanaume fanyeni kazi yenu nyonyeni matiti sasa, na wanawake kuweni wepesi kuachia kunyonywa.

Hii ni meseji toka wizara ya afya kusaidia mapambano dhidi ya kansa ya matiti.
Duuh! Hii kali
 
Back
Top Bottom