Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
mh mbuzi kafia kwa muuza supu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa Lip TenaMatiti ni Point of weakness kwa baadhi ya......... sasa si balaa hilo!
naunga mkono hoja.Mhhhh hili ni tusi kwa wanawake. Wanatuzalia Watoto hadi wanne na zaidi na wanalinyonya kila mmoja say 1-2 years. Wewe unalinyonya. Likianguka unaliita lapa. Hata la mom wako ni lapa kwa kuwa mlinyonya na baba yako alinyonya. Tuwape heshima wanawake. Ulimuoa yakiwa SAA 6 leo ni lapa. I love you mama Bahati na iko wazi. Hata uzeeke you will remain my rose flower( jina nilokupa our first date over three decades ago). Sitegemei physically uonekane kama nilivyokuoa ukiwa na 24 years na haitabadili upendo kwa kuwa uzao una erode na umri pia. Wekeni staha kwa wanawake hasa wake zenu. Msipobadili utashi utaishia kukimbizana na Nyumba ndogo kila leo na huko hakuna faida. Pamba mkeo au mpenzi wako kila siku awe mpya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivyo hivyo kishingo upande maana hamna namna wanahitaji msaada. Ni kama kunywa kiroba hakina utamu lakini tunavumilia tu.
Tatizo ni kwamba hatujaolewa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nini atatunyonyaMuda mchache ujao wanawake watakua wakiwalipa wanaume ili wanyonywe matiti.
Kutokana na report ya mtandao wa BBC madaktari wanasema wanawake wanapunguza uwezekano wa kupata kansa ya matiti kwa kunyonywa sana matiti yao na kwa nguvu.
Kunyonywa Matiti kunapunguza hatari ambayo hutengeneza uvimbe ambao husababisha kansa ya matiti.
Matiti yanatakiwa yanyonywe mara kwa mara kwa kadri iwezekanvyo. Wasaidie wanawake zenu kupambana na kansa ya matiti.
Wanaume fanyeni kazi yenu nyonyeni matiti sasa, na wanawake kuweni wepesi kuachia kunyonywa.
Hii ni meseji toka wizara ya afya kusaidia mapambano dhidi ya kansa ya matiti.
Ukirud Pitiliza Moja Kwa Moja Pmntarudi.......................
Mhhhh hili ni tusi kwa wanawake. Wanatuzalia Watoto hadi wanne na zaidi na wanalinyonya kila mmoja say 1-2 years. Wewe unalinyonya. Likianguka unaliita lapa. Hata la mom wako ni lapa kwa kuwa mlinyonya na baba yako alinyonya. Tuwape heshima wanawake. Ulimuoa yakiwa SAA 6 leo ni lapa. I love you mama Bahati na iko wazi. Hata uzeeke you will remain my rose flower( jina nilokupa our first date over three decades ago). Sitegemei physically uonekane kama nilivyokuoa ukiwa na 24 years na haitabadili upendo kwa kuwa uzao una erode na umri pia. Wekeni staha kwa wanawake hasa wake zenu. Msipobadili utashi utaishia kukimbizana na Nyumba ndogo kila leo na huko hakuna faida. Pamba mkeo au mpenzi wako kila siku awe mpya.
Its ur point of weakness?!...[emoji23][emoji23]Matiti ni Point of weakness kwa baadhi ya......... sasa si balaa hilo!
Mkuu ongeza na Mabinti tunaozaa. Mungu atuepushe na laana. Kabla MTU hajasema ni bora afikirie kwa ubongo. Asante kwa orodha hii. Barikiwa mno. Wanawake ni Maua yanasinyaa haraka hivyo yatunze kwa kuyamwagilia.Naunga mkono maoni yako
UNAPOMDHALISHA MWANAMKE, UNAWADHALILISHA WANAOKUHUSU SITA
1. Bibi yako (Nyanya yako),
2. Mama yako,
3. Shangazi yako,
4. Mkeo,
5. Dada yako
6 na shemejio
mimi nilishaanza kitambo tu kwa shemeji yenu mbona,ina raha yake piaMuda mchache ujao wanawake watakua wakiwalipa wanaume ili wanyonywe matiti.
Kutokana na report ya mtandao wa BBC madaktari wanasema wanawake wanapunguza uwezekano wa kupata kansa ya matiti kwa kunyonywa sana matiti yao na kwa nguvu.
Kunyonywa Matiti kunapunguza hatari ambayo hutengeneza uvimbe ambao husababisha kansa ya matiti.
Matiti yanatakiwa yanyonywe mara kwa mara kwa kadri iwezekanvyo. Wasaidie wanawake zenu kupambana na kansa ya matiti.
Wanaume fanyeni kazi yenu nyonyeni matiti sasa, na wanawake kuweni wepesi kuachia kunyonywa.
Hii ni meseji toka wizara ya afya kusaidia mapambano dhidi ya kansa ya matiti.
Unaye wa Kumnyonya au Unambwela mbwela tu?Somo nimelielewa vyema