Wanaume halisi hatuchagui aina ya wanawake wa kuwa nao

Wanaume halisi hatuchagui aina ya wanawake wa kuwa nao

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Habari za leo waungwana.

Leo naomba tujadili hii kitu.

Duniani kote mwanaume halisi mwenye genes za kiume ndani mwake na tabia za kuwa mwanaume huwa hachagui aina ya mwanamke wa kuwa naye. Akichagua ni kwa sababu anataka kuwa na mmoja tu lakini kimsingi anaweza kuwa na mwanamke wa aina yeyote awe low class, high class, trendiest, High IQ au Low IQ. Awe wa mjini au kijijini.

Hii ni kutokana na kuwa mwanaume halisi ana uwezo na mbinu za kuishi nao wote kwenye makundi hayo. Anastahimili mikiki mikiki yote. Mbali zaidi ya hayo Mwanaume akiona mwanamke( jinsia ya kike) mwili lazima umsisimke, lazima uhisi kuna kitu cha tofauti kumepita. Yaani sensation zinakuwa intact.

Mwanaume halisi huwezi kukuta anahangaika na vumbi la mkongo wala viagra. Kwabi kitendo cha kumwona mwanamke tu ni ijinition ya kutosha kuwasha injini ya utendaji kazi mwilini mwake.

Unashangaa ukiona mwanayme amekufa na kuzimia kwa mwanamke ambaye wengi mtaona hana thamani, mathalani mwanamke kimbau mbau hana tako au sura yake sio kama zile za bongo movie. Lakini bado Mwanaume anatambua thamani yake

Uzuri wa mwannamke uko kwenye vitu vingi; sura,sauti, umbo, tabia na mwenendo.

Sura umepinda lakini 6x6 anakupeleka peponi na kukurudisha paradiso.

Mwanamke akiwa ndani ya nyumba hata ile kuingia na kutoka tu mwanaume anajishikia raha.

Mwanamke hata kutembea kwake tu kuna mvuto kwa wale wanaume halisi.

Mwanamke ana mambo mengi yakuvutia.

Unaweza kukuta anapayukapayuka lakini anavunja ndoa za watu mnaodhani wana wake wazuri. Utashangaa wanaume wanapishana kila wakati. Mwingine ni mlevi kujpindukia au hata anavuta bangi lakini utakuta mume wako na uzuri wako kahamia huko.

Je wewe mwanaume nini mtazamo juu ya mawanamke?

To me they are all beautiful creatures
 
Dedication: Sura yako muzuri mamaa, muzuri mamaa, muzuri mamaa

Tabasamu lako mauaaa, muzuri mamaa, muzuri mamaa...
Piga densi kidogooo.... Piga densi kidoogoo...
Swadaktaa.
 
Heading Umesema wanaume hatupaswi kuchagua wa kua nao, Tuzoe Zoe TU.

Katikati,
Umeongelea habari za vumbi la Kongo na Viagra, Sijui zinahusiana vipi heading yako.

Afu mwishoni
unaomba upate tena mtazamo wetu.

Mada yako Ina mkanganyiko sana, nmesoma nakusoma Tena lakini bado sijaelewa[emoji848]
 
Heading Umesema wanaume hatupaswi kuchagua wa kua nao, Tuzoe Zoe TU.

Katikati,
Umeongelea habari za vumbi la Kongo na Viagra, Sijui zinahusiana vipi heading yako.

Afu mwishoni
unaomba upate tena mtazamo wetu.

Mada yako Ina mkanganyiko sana, nmesoma nakusoma Tena lakini bado sijaelewa[emoji848]
Mada moja maudhui mengi. Ni aina fulani ya uandishi. Hata hivyo kuna uhusiano kwenye maudhui moja na nyingine. Mathalani kumekuwa na tatizo la nguvu za kiume kwa idadi iaiyomithirika. hii siokwamba hawana nguvu bali ni matokeo ya kuchagua chagua. Huwezi kuwa na mwanamke Faragha ukakosa nguvu hata kama ni kichaa itasimama tu.
 
Hii ni kutokana na kuwa mwanaume halisi ana uwezo na mbinu za kuishi nao wote kwenye makundi hayo. Anastahimili mikiki mikiki yote. Mbali zaidi ya hayo Mwanaume akiona mwanamke( jinsia ya kike) mwili lazima umsisimke, lazima uhisi kuna kitu cha tofauti kumepita. Yaani sensation zinakuwa intact.
Wapiiiiiii, nyie kama panya tu, ilimradi kuna kitobo basi panafaa kuingia
 
Mada moja maudhui mengi. Ni aina fulani ya uandishi. Hata hivyo kuna uhusiano kwenye maudhui moja na nyingine. Mathalani kumekuwa na tatizo la nguvu za kiume kwa idadi iaiyomithirika. hii siokwamba hawana nguvu bali ni matokeo ya kuchagua chagua. Huwezi kuwa na mwanamke Faragha ukakosa nguvu hata kama ni kichaa itasimama tu.
Habar za vumbi na vigra zilitakiwa kua mada nyingine.

Mkanganyiko mpj sielew nichangie kipi niache kipi
 
Dedication: Sura yako muzuri mamaa, muzuri mamaa, muzuri mamaa

Tabasamu lako mauaaa, muzuri mamaa, muzuri mamaa...
Piga densi kidogooo.... Piga densi kidoogoo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂😂 Baadhi banaa si wote kitobo hakina hata quality 🤣🤣🤣🤣ingekuwa hivyo basi wote tungeishia pale kona bar kuchangamkia vitobo sasa hiyo foleni yake!!!! Wengi tu wana standards zao.

Wapiiiiiii, nyie kama panya tu, ilimradi kuna kitobo basi panafaa kuingia
 
Back
Top Bottom