Wanaume hamuwezi kunitongoza bila kuniuliza una mtoto au unafanya kazi gani?

Haina shida ukizoea kawaida tu...
Unajichanganya na watu maisha yanasonga
Kuwa realistic my dia.

kuwa single ni mtihani sana. Sema maneno ya kufariji ndio yanawafanya watu wawe single ila wakiwa vyumban mwao wanahisi kabisa kuna ubavu unakosekana. Labda kama hujawahi kuwa kwenye mahusiano tangu uzaliwe.
 
Kuwa realistic my dia.

kuwa single ni mtihani sana. Sema maneno ya kufariji ndio yanawafanya watu wawe single ila wakiwa vyumban mwao wanahisi kabisa kuna ubavu unakosekana. Labda kama hujawahi kuwa kwenye mahusiano tangu uzaliwe.
Sawa
 
Sio kwamba wanataka kujua kazi yako bali wanaijua ila wanataka uhakika zaidi.
 
Haa...haaa..... huwa hatuna mahitaji ya kudumu kwa kila mwanamke mfano kwangu mimi kwa sasa nataka mwanamke mwenye mtoto tena aliyeumizwa na mwanaume ambaye naamini anaweza kuwa na adabu kwa jinsi unavyo mtunza mtoto wake na kuwa faraja kwake.
hivyo hawezi kukupigia simu saa nne kwa kuwa anajua haki za wanandoa na kingine ameshapevuka katika mahusiano hivyo anaadabu.
 
Basi vizur kumbe ila maswali hayo yananiboa
 
Basi vizur kumbe ila maswali hayo yananiboa
wakati mwingine wala hatukalili majibu yake inakuwa tu sehemu ya swaga!
karibu supu ya mchicha na mbogamboga muda huu!
 
Asante nipo kwenye basi nasinzia hatar
wakati mwingine wala hatukalili majibu yake inakuwa tu sehemu ya swaga!
karibu supu ya mchicha na mbogamboga muda huu!
 
hahah ,tena una hahatai maana unaulizwa kwanza ili mtongozoja ajue hitaji lake,sio akae kimya umpe msibo baadae ajue huna kazi na una mtoto juu,jua hutomwona tena, na mzigo atakuwa keshagonga ni hayo tu.
 
Siuwambie tu kama una watoto nane na wajukuu wanne!
 
Huwaga tunapima kina cha maji.
 
Tunapojua kama una mtoto au.lah, tunakuwa na uwezo wa kukisia Diameter ya K. Wengine tuna vibamia.
 
Msitupangie namna ya kutongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…