Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
Ni kitu ambacho nimesha-experience, lakini interaction na wanaume wenzangu nimagundua kuwa wengi tupo hivyo...
Wanaume hawapendi kuachwa na mwanamke. Hata kama mwanaume yupo na mwanamke na hampendi na anatafuta namna ya kumuacha, siku huyo mwanamke akamuwahi akampiga chini, mwanaume ataumia sana na tena kwa muda mrefu sana. Nimeshaona wanaume wanatumia nguvu nyingi sana kuwarudisha wanawake waliowaacha japo walikuwa hawawapendi. Mara nyingi hatusemi lakini huwa mwanaume anaumia sana anapoachwa, na mbaya zaidi agundue kuwa kaachwa baada ya mwanamke kupata mwanaume mwingine.
Najua hii ni natural behavior, kuwa mwanaume hapendi kuachwa, ka hata kama mapenzi yameshakufa na kuachana ndiyo next step, mwanaume atataka yeye ndiye atamke "Kuanzia leo, mimi na wewe tuachane (au kuanzia leo nimekuacha)".
Swali ninalouliza ni kuwa hivi kwa wanawake nao iko hivyo? Yaani mwanaume ambaye pengine mko pamoja lakini unahisi kabisa humpendi tena na unatamani muachane, hivi akikutamkia kuwa kakuacha unaumia?
Wanaume hawapendi kuachwa na mwanamke. Hata kama mwanaume yupo na mwanamke na hampendi na anatafuta namna ya kumuacha, siku huyo mwanamke akamuwahi akampiga chini, mwanaume ataumia sana na tena kwa muda mrefu sana. Nimeshaona wanaume wanatumia nguvu nyingi sana kuwarudisha wanawake waliowaacha japo walikuwa hawawapendi. Mara nyingi hatusemi lakini huwa mwanaume anaumia sana anapoachwa, na mbaya zaidi agundue kuwa kaachwa baada ya mwanamke kupata mwanaume mwingine.
Najua hii ni natural behavior, kuwa mwanaume hapendi kuachwa, ka hata kama mapenzi yameshakufa na kuachana ndiyo next step, mwanaume atataka yeye ndiye atamke "Kuanzia leo, mimi na wewe tuachane (au kuanzia leo nimekuacha)".
Swali ninalouliza ni kuwa hivi kwa wanawake nao iko hivyo? Yaani mwanaume ambaye pengine mko pamoja lakini unahisi kabisa humpendi tena na unatamani muachane, hivi akikutamkia kuwa kakuacha unaumia?