Wanaume hatupendani.Aibu niliyopata leo nimesikitika sana. Nimeokolewa na Mwanamke

Haaa haaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] leo hii wanaume hampendani? Maajabu haya ,
pole sana ila walishasahau pic yenyewe endelea tu kilicho kupeleka
Umejua kuniwahi ujue. Haya ni zaidi ya maajabu, tena maajabu hasaaaaa.

Wale wasafi nao wameanza kuwa wachafu lol. Kwa mlikofikia poleni wanaume.

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Huenda ilikuwa kibamia ndio maana wanaume hawakushtuka na waliendelea kukishangaa tu
 
Inawezekana... Sikupingi dada yangu... Maana uzuri wa kitu upo machoni pa mtu. Nataman nawe ningepata nafasi ili nikuoneshe utendaji wake uje useme unaonaje... Maana huwa napata maon yenye kuchanganya toka kwa wadau... Wengine wanasema kibamia wengine... Mhogo basi hata sielew. Ila "usiamin ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe"

Huenda ilikuwa kibamia ndio maana wanaume hawakushtuka na waliendelea kukishangaa tu
 
Uwiii Mwifwa kawa dada leo
 
. Sikupingi dada yangu...
Mimi ni mwanaume kama wewe.
Kama umeandika hili kwa kutojua basi nimekujulisha..

Na kama umeandika kwa kujua ila umeamua kuandika hivyo ili kufikisha ujumbe/dhamira yako kwa comment yangu una haki pia ya kuandika hivyo....

Any way shukrani kwa stori nzuri ya kutufunza mambo yanayotuzunguka katika maisha yetu ya kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…