Umeona eeeh....Apo hata me nimebaki mdomo mwaaa... Sijamuelewa shost yke mie
Hahahaaaaa.....Hajui watu tuna ID zaidi ya 7, na ametongozwa kwa ID 3, na kati ya hizo moja tu ndo kachomoa.
Dah... miye toka alivyoedit katiba nilimbwaga palepale.... [emoji13] [emoji13]Ufinyu wa kufikiri kwa wanawake ni kawaida yao. Utakuwa MTU wa kaskazini ww. kutokana na swagger zenu kufanana. Mm ni cdm lkn mkuu wetu anabore.