Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Tukiwapelekea moto katiba ushiriki wao utakuwa mkubwaAAAH KATIBA TUTAPATA KWELI..?
Hello,
Taarifa toka kwa Wadiz a.k.a Baharia
Ukipata nafasi kuwasikia wanawake wakisema ukweli ni raha sana, mara kadhaa nimesikia hii kauli heshima ya mwanaume ni kuupeleka moto, mengine tutajua mbele.
Pamoja na kauli mbiu yetu tukufu ya kutafuta pesa na kuvimba kwenye matumizi.
Wito wa msingi kabisa wanawake kwenye vikao vyao wanasema tuwapelekee moto mkubwa yaani shoo shoo.
Tuishi kwa kufuata hio kanuni Moto Moto tuwapelekee moto.
Nawasilisha
Wadiz
Mkuu yaani wao ndio wanataka na wasipopewa moto wanachukia sana jitahidi kuupeleka moto vilivyo kula Shiba haswaaIla mkuu, ile kitu haikomolewi, unaweza jikuta kesho yake unatembea kama una mabusha.
Sio Mimi Kama hutaki kuitikia wito ni weweMapenzi starehe sio vita ebooo!!!
Wape shuhuda mkuu wanafikiri nadanganyaMungu fundi,Pale Kati patamu[emoji39]
Ya Jamhuri tayar tunayo sema haieleweki ila km ni hii kuhusu alichosikia mwanachama mwenzetu tuko mbioni kuikamilishaAAAH KATIBA TUTAPATA KWELI..?
Wazee wa vibunda hawaMapenzi starehe sio vita ebooo!!!
EM NGOJA TUENDELEE KUPERUZIYa Jamhuri tayar tunayo sema haieleweki ila km ni hii kuhusu alichosikia mwanachama mwenzetu tuko mbioni kuikamilisha