Wanaume hii imekaaje?

Wanaume hii imekaaje?

Heri mimi nikae kimya hapa maana.......
 
mwambie anachunwa shost.
amekuwa ustaw wa jamii bla kujijua
amkimbize hakuna love apo zaid ya kutumika
kadanganyika na muhogo?na maneno lain ya blue band....dah kaz nzto ama kwel mwalimu wetu kaded

SEMESTER IJAYO ATALIPIA YEYE PANGO...ahhh ata ivo aijatulia mwambie akatafute nyumba.

dah kuna watuwanapenda jaman dunian umu mpk akil inahama....:twitch:
Ukiona hivyo Waridi ujue jamaa yuko fiti kitandani na dada hawezi tia neno ataishia kulalamika pembeni.
 
Heri mimi nikae kimya hapa maana.......

Ha ha ha ha Maty unataka kuoa, jamaa ahamie geto kwako kabisa kabisa, afu we unakuwa Service provider.
 
Back
Top Bottom