Wanaume hivi huwa hamuoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani?

Daaa!! [emoji20] [emoji20] [emoji20] [emoji144]
 
Naanzaje kunyoa labda si ndo mwanzo wa kuota vipele kila mahali [emoji38][emoji38]
 
kwanza mwanaume wa ukweli anatakiwa kuvaa kaptula tuu, Sikh nzima. sehemu nyingine zote zinatakiwa kuwa wazi na hatakiwi kulala na nguo yoyote maisha yake yote.
 
kwanza mwanaume wa ukweli anatakiwa kuvaa kaptula tuu, Sikh nzima. sehemu nyingine zote zinatakiwa kuwa wazi na hatakiwi kulala na nguo yoyote maisha yake yote.
[emoji15] [emoji15] [emoji46] Hiyo ni sayansi kutoka wapi?!! Kwako au
 
Yaani mimi siyapendi hata kama ni Garden Love wasichana wanayapenda yaani utakuta mtu mindevu hadi shingoni ni ile nayo inakaribia shingoni
We bado katoto
Siku umekua utajua maana yake.
Suku umepigwa papuch na wa nyele ndo utajua nn maana ya mungu kumpatia mwanaume hicho kitu
 
Wanaume wenye manywele nawaogopaaaaa
Siku wamekukulida hutawaogopa watakuwa rafiki zako
Kwa asili mwanaume mwenye nywele mwilini kawaida ni mpole sana kwa sabab mwili wake hupumua wote vzt hawana hasira na visasi vya hovyo hovyo
Wanaume wasio na nywele mwilini ni wakorofi na ni shida tu ukiwapata mpaka utakoma
 

Ukikua utayajua haya mambo.
 
Hupendi kifua wazi au hayo manywele?we unanyoa kila kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…