Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Hapa mtaani kuna baba dume zima, baba mwenye watoto wawili kakabaka katoto ka miaka 12.
Baba huyo kakamata katoto kakitoka bombani kuteka maji, maji huanza kutoka saa 4 kamili hadi saa 8 usiku.
Baada ya kipigo kikali Anasema kavutiwa na vichuchu vya na kuanzia azaliwe hajawahi kutoa msichana yeyote bikira.
Jamani, hivi nyie midume mna akili kweli?
Baba huyo kakamata katoto kakitoka bombani kuteka maji, maji huanza kutoka saa 4 kamili hadi saa 8 usiku.
Baada ya kipigo kikali Anasema kavutiwa na vichuchu vya na kuanzia azaliwe hajawahi kutoa msichana yeyote bikira.
Jamani, hivi nyie midume mna akili kweli?