Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #401
Anavyoongea basi warumi ashaandika hayo kuhusu hana kifua nilicheka kweli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Umenikumbusha Aggrey eti usinikaushe uzazi
Wewe tena? Si umesema nafaa kuwekwa ndani mara tena huwezi. Kuwa na msimamo basi mkuu. Unanitaka au unacheza na hisia zangu?Wewe na huyu mama sabrina akili moja hamtaweza kusitirika
Hahahahahaaa.Anavyoongea basi warumi ashaandika hayo kuhusu hana kifua nilicheka kweli
Siku akija warumi ntamxhekesha anasemaga ye hana kifua ya kwake tu yanamshinda kuyatunza sembuse yako cc Evelyn SaltHahahahahaaa.
Mtuonee huruma jamani.Mpaka muwe vichaa ndio tutaridhika
Tunakuahidi tutabdilikaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe na huyu mama sabrina akili moja hamtaweza kusitirika
Sawa freesocietyMtuonee huruma jamani.
Hakuna kitu kinaudhi kama uwe na bwana halafu muende sehemu ugundue analipiwa bill.Afu unakuita hapo wakati na yeye anapewa bia za ofa na hao maHB...Jokin
Anacheza tu huyo kwanza sisi ndio tunaongoza kwa kuwa na tabia nzuri jfWewe tena? Si umesema nafaa kuwekwa ndani mara tena huwezi. Kuwa na msimamo basi mkuu. Unanitaka au unacheza na hisia zangu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Siku akija warumi ntamxhekesha anasemaga ye hana kifua ya kwake tu yanamshinda kuyatunza sembuse yako cc Evelyn Salt
We kaka kama ulikuwepo unaona hayo mambo aibuuuAfu unakuita hapo wakati na yeye anapewa bia za ofa na hao maHB...Jokin
Akituoa tutabadilika kweli.Tunakuahidi tutabdilikaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kuonjana? Msiwe mnalia na kulalamika tukiwaacha.Si kuonjana tu basi
Mkuu umeongea kauli ya wadangaji. Hilo neno kuchetua nililisikia kwa malaya wa China.Kesho akija na baba yake nae mzuri, handsome si utamchetua hadi baba mkwe??
Wote nataka kakaAkili za kimalaya hizo,unataka umalize wakka wote wazuri....endelea