Hahahaha mi nakujaga mwenyewe tuHata na wewe Mbona ni mbaya wa kila kitu kuanzia sura hadi umbo Ndo Maana nilikuaacha nikamchukuwa rafiki yako wa kike Maana amekuzidi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi tenaKumbe Ni Mama Sabrina again
Hahaa.Kesho ntakufuata mwanzaBilgate wewe usiwe na shaka hata ukae na dangote mi ntachagua wewe tu
Bora weweMimi huku nilipo ni porini, Labda utakutana na Mbuzi na ng'ombe wanarudishwa machungani.... Huko Catalunya nawaachia nyie
Unavunga eehHahahaha mi nakujaga mwenyewe tu
Njoo,utakuja private jet yakoHahaa.Kesho ntakufuata mwanza
Si kuonjana tu basiBaada Ya Wiki Mbili Siye Wanaume wazuri Tuliomzidi Niga Wako Kila Kitu Tunakufanya Kama Toilet Paper Tupa Kuleee
Cheaper Woman is Simple and it Seems like Wasted Material
Sivungi ila kama vipi poa tu na sie twasema upande wetuUnavunga eeh
Mapepo kama ya connor?Jiombee unaonekana una pepo huwez kulizika na uliyenaye
Njoo pm kuna sehem nataka nikulambeUmaandikaga pumba ila umenichekesha leo.
Hilo ni suala dogo saana.vip si utanitunuku lakiniNjoo,utakuja private jet yako
Ahhahahahahaha umeona ee inakera hiyo sanaKuna kaka mmoja ananipendaga miaka na miaka. Ana kundi lake wanacheza mpira kila jumapili. Sasa siku akanialika uwanjani. Kufika jamani. Picha linaanza kaja kunichukua na Carina. Kufika uwanjani marafiki zake sasa. Sijui huyu anafanya wapi mara yule wapi na yeye ni mwalimu unaona range benz harrier etc. Vitu vizuri vizuri tu. Wanavyovyaa. Wanavyonukia. Hapo kawaambia mimi demu wake jamani. Kundi lina wakaka wazuri na wa maana sema ndo vile hamna mwenye nguvu ya kunitaka wanamuogopa mwenzao. Na nilishawaambia sio bwana angu ila wao hawaelewi. Kuna mmoja yuko voda nina crush nae hadi kesho. Siku nimekutana nae TIPS akaniita shemeji nusu nimtukane basi tu sikua nimelewa ananiitaje shemeji wakati nampenda.
Hey niga mbona povuNina uhakika wewe kichwa chako unafugia nywele tu.
Hilo unalosemea hujui kila upande linatokea?
Vipi Sasa nawewe ukija na shost wako mzuri kuliko wewe je unashauri nimchukue?
Au ndo mke wangu tunaishi pamoja na siku ya siku anakuja dada yako au mdogo wako wa kike mrembo kuliko wewe, je hili unalisemeaje?
Ukiona unashindwa kumudu hisia zako kila mara ujue bado hujakomaa kiakili
Hahaha aisee[emoji125] [emoji125]Kuna kaka mmoja ananipendaga miaka na miaka. Ana kundi lake wanacheza mpira kila jumapili. Sasa siku akanialika uwanjani. Kufika jamani. Picha linaanza kaja kunichukua na Carina. Kufika uwanjani marafiki zake sasa. Sijui huyu anafanya wapi mara yule wapi na yeye ni mwalimu unaona range benz harrier etc. Vitu vizuri vizuri tu. Wanavyovyaa. Wanavyonukia. Hapo kawaambia mimi demu wake jamani. Kundi lina wakaka wazuri na wa maana sema ndo vile hamna mwenye nguvu ya kunitaka wanamuogopa mwenzao. Na nilishawaambia sio bwana angu ila wao hawaelewi. Kuna mmoja yuko voda nina crush nae hadi kesho. Siku nimekutana nae TIPS akaniita shemeji nusu nimtukane basi tu sikua nimelewa ananiitaje shemeji wakati nampenda.
Sitaki. Unanitia mzuka tuNjoo pm kuna sehem nataka nikulambe