Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #621
Leo hadi vi emoj vya kucheka umepatikana empty set!!!!Bado Mwajuma sijaona jipya hapo..[emoji23] [emoji23] bring more
Ila nikuulize tu ile hela uliyokopa kwa mbitiyaza kulipia ada umeshamlipa[emoji23] [emoji23] ?
Bora angeliwa kichwa yeye jamani. Katupotezea Putin wetu.Leo hadi vi emoj vya kucheka umepatikana empty set!!!!
Hahahaah connor muoga kamreport putinBora angeliwa kichwa yeye jamani. Katupotezea Putin wetu.
umejibu kama wewe ndo ulimwengu vile....hahahaaaKuna aina ya species kama ya mleta mada unaweza kifikiri ni mende aliye pitia evolution akawa mwanadamu..rubbish kabisa
Connor leo umeandika gazeti maajabu ya Mussa hayaOoho Mwajuma nini tena hiki kimekupata mtoto mzuri??
I was realy enjoying this..hahaha, kuna wambea wametukata stimu
mimi ndio CONNOR..siku nyingine ukiwa unanijib jifikirie mara mbili..sio unakurupuka kama uko na shoga zako!! Fils de pute!!
Quick advice..tafuta kazi ufanye sio kushinda humu kujitongozesha na vi. I.d vya kike alafu unajijibu mwenyew..unatofauti gani na kichaa ww..
kujipendekeza pendekeza kwa watu humu kunakusaidia nin au wazazi wako wanaoteseka..ninasema aya sababu nimepata huruma ghafra kusikia unakopa wanawake hela uko pm alaf unakuja kuwatukana humu
Sasa najiuliza maisha ya kudanga ayo mitandaon humu yanakusaidia nin? Emu jitambue dogo sina nia mbaya kwako, infact niko tayari kukusaidia upate kikazi kidogo cha kukuweka buzy na ujira wa kumudu maisha.
siandikagi gazeti lakin nina nia kabisa ya kukusadia..kujitamba humu kwmb wazaz wako wana uwezo wakat unajua fika si kweli ni kuiongopea nafsi na mbaya zaidi wazazi wako wanoteseka..ata ingekuwa kweli ni upumbavu kujivuna kwa mali ya aliyochuma baba yako unajua yaliyomsibu??
Nitakusaidia kijana uwe mfano na atimae uweze kuishi maisha unayojinasibisha humu.. emu fanya kunitafuta nikupunguzie matatizo..
We connor mi nataka unizalishe katoto kawe na akili kama zako ,nisaidie na mimi hiliBinti mimi ndio CONNOR..nyani mzee, uyo shoga yenu nilimpa ruhusa atukane sasa nitawezaje kumreport..infact ata kureport kwenyew sijuii..
mwambieni akirudi anitafute nimsadie kupata kazi ya kufanya ...rubbish kabisa!!
aiseeee kweli Connor mc GregoryPumba ni wewe kuzalishwa nguchiro na kutelekezwa..pumba ni ww kutumia JF kama hunting ground ya kudanga..pumba ni ww kutojitambua na kutumika..rubbish!!
Duuuh,,, hatar sana. Ila Wamekuelewa nadhaniMama Sabrina again!!!!!
Ni hivi unakuta umeitwa na mpenzi wako sehemu au mahala fulani halaf ,tatizo sio kukuita hiyo sehemu hapana,tatizo ni watu uliowakuta na mpenzi wako hapo,yaan kakaa na watu wamemzidi kipato,wamemzidi uzuri wananukia kuzidi yeye,,hivi hamfikiriii bora muwe mnatuita mkiwa mmekaa wenyewe tu,sio tabia nzuri unaniita Mama Sabrina njoo hapa Catalunya ,huyo nami nakuja nakukuta umekaa na wakaka wazuri kukuzidi wewe hivi unategemea nini??
Unadhan mimi sina moyo au wanawake hatuna moyo?tunayo sana tena inachuruzika midamu tu,mnadhan sisi hatutamani?tunatamani sana sema huwa tunajikaza kweli.
Angalia watu uliokaa nao ndio umuite mwenzio sio baadae mapinduzi ya mechi yatokee tulaumiane,,hata sisi wanawake huwezi kuwa unaenda kwa mpenzi wako unaongozana na wanawake wazuri kukuzidi wewe nenda na wabaya wabaya au wa kawaida ama nenda peke yako,,tena bora sisi huvumilia wanaume hamna haya nyie malaya wakubwa unakuwa umemletea mboga kabisa unashangaa tu mnaanza ugomvi na shoga kumbe ashaonjeshwa utamu game limemkolea,,na kuna wakaka wanajua kweli kunogesha wanawake kunako majambozi,,tuhurumieni nasi huwa tunazidiwa
Unakuta mwanaume anakutongoza jamanii anakuita sehemu ndio mnajuana sasa yaan unakuta kazungukwa na wakaka yaan unaanza kujuta ,na kama hujamkubalia inabidi ujipoze moyo,hii tabia inakera sana ,sisi wanawake tunapenda wanaume zetu wawe juu,basi ukute sasa anazidiwa na akili basi ndio unamuacha kabisa,,uwe umezidiwa lakin uwe smart sanaa,lakin mjinga mjinga tunakuwaacha.
binadam tumezidiana madaraja kila sehemu ukweli mchungu huu,
Mfano nataka mnielewe zaidi ili mkimwaga mapovu muwe mmeelewa ee mfano anakutaka hamornize ,,siku unaenda onana na hamornize unamkuta yupo na docta ulimwengu hivi kweli ni akili au matope unakaaje na mwanaume mzuri vile halaf mi nikukubalie mfffyuuuuu,mnatutia majaribuni halaf ukute mahusiano na huyo mwanaume hayana mbele wala nyuma kwanini usifurahishe nafsi
Haya mambo yanatokea sana tu
Hakikisha unakutana na mpenzi wako mwenyewe,,hakikisha upo smart umewazidi kitu flan rafiki zako ndio unamuita mpenzi wako
Tumeelewana???? Haya tiririkeni