nina hakika ushauri wangu unahitajika katika hii sredi lakini nawahi kikao kidogo, msihuzunike nitalejea. naomba mod wasije wakaipeleka hii sredi kwenye jukwaa la wakubwa sina access ya huko.
asanteni kwa ushirikiano.
klorokwini a.k.a kibaka mzoefu.
Mzee wa konekti dhem dots.....hahahahaaaaaa....
Asprin nakuchukia mie sikupendi tena hahahahah kwanini unasema hivi???
babu we mchokoz
Mzee wa konekti dhem dots.....hahahahaaaaaa....
Asprin nakuchukia mie sikupendi tena hahahahah kwanini unasema hivi???
babu we mchokoz
babu we mchokoz
Ni kweli sometimes wamama wanachangia ila kuna mijanadume mingine migugume hata ufanyeje atatembea tu na huyo h/g yaani wapo watu wameumbwa hivyo na hivi kama ndio ulilazimisha ndoa kwa kujibebesha mimba utaona rangi zote.
Mpaka tutaojifunza kuishi bila housemaids ndipo tutapomaliza tatizo.
Mwanamke anaweza kuondoka kikazi wiki nzima akamuacha housemaid na mume. Alitarajia nini?[/QUOTE]
Gaijin wewe kwa hiyo tusisafiri kikazi?? na siku hizi ndo wanasema mambo kusaidiana?? Mama analeta 50,000 baba 50,000 hapo tayari 100,000. Tukikaa home tu itakuwaje???
Tafuta means nyengine.
Ukisafiri watoto na maids wapeleke kwa shangazi/bibi yao.
Tunaweza kuishi bila maids ni kujiendekeza tu
tujifunze kuishi bila mahousegirl,inawezekana!
coz ukianza kuorodhesha madhara yao ni makubwa kuliko faida zao
mara katembea na mumu,mara mshirikina,mara anachezea watoto na kuwaambukiza magojwa ya ajabu,
bado hajakuibia....aaaghhhhhhhhh
mi naona bora nikomae mwenyewe tu
daughter tutaweza wapi jamani
Tuna watoto wadogo na kazini tunatakiwa mapema
La sivyo waajiri watupe ruhusa ya kuingia ofisini na watoto
Napata picha muajiri ni St.RR
na kila kitu akifanya haus boy pia na mimi niende nikalale nae?
kaz zooote zp wakat we waenda job na mimi job?
mbona mi siend kwa haus boy?
mwone vle ...ndo mana haujapona vzur
Muajiri wako au wa h/g? (nimejikataza kukonekti dots)
Hili kweli ni tatizo, pamoja na tamaa zetu sisi wanaume lakini wanawake wenyewe mnachangia, isingekuwa hivyo basi tatizo lingekuwa la kawaida
HG anatandika kitanda chako na mmeo (mda mwingine unamkuta kitandani anachomeka shuka), inajenga hisia taratibu
HG anaamka saa 11 alfajili kumuandalia mwanaumme chai na maji ya kuoga wewe umelala!
HG anapika chakula murua, siku katoka kidogo wewe ukipika chakula hakiliki!
HG anatake care kwa watoto kuliko mama!
HG anampokea mwanamme akirudi na mauchovu anaandaa maji ya kuoga, chakula n.k wewe uko kwenye sofa doing nothing!
HG ana umbo la mchina.
HG chumbani kwa mmeo kiguu na njia kila siku kila wakati.
Jirekebisheni la sivyo kilio kitaendelea na kitaota mizizi
wakati mwingine sisi wenyewe kina mama tunachangia sana, mama anashindwa
1) kumwandalia mumewe chakula,
2) kufua na kupiga pasi,
3) kusafisha viatu ,
4) kukata kucha,
5) kumuandalia matunda,
6) kumuandalia maji ya kuoga
yooooote hayo yanafanywa na msichana sasa hapo kaolewa nani/msichana au huyo mama feki?mwanaume ni kama mtoto utakavyompeti peti pamoja na udhaifu wake lkn bado atakuheshim tu maana ww ni mama yake wapili katika malezi,mwanammke kuanzia j3 mpaka j2 uko busy tu hujui hata mumeo kala nn kashindaje utasema umekuwa dei worker wa daladala?tunajua majukum tuliyonayo ni mengi lkn tunapaswa kuwa na mda na familia zetu jamani tuachane na utandawazi na uzungu mwingi tukumbuke mila zetu na kutunza familia zetu,am out!
Muajiri wangu naingia ofisini nimebebelea katoto 6 month kisa H/G kanitenda
Hapa nikiunganisha na ile sredi ya wanawake wa mujini wote wameshatoa mimba, nakonkloudi hausigelo wa FL1 ana mimba ya muzee ya FL1.
Kuna wanawake wanawatunza waume zao vizuri na bado wanalala na ma-housegal, ni kushuka kwa hofu ya Mungu na maadili.......
Pia kuna nguvu za giza sana walizonazo hawa ma-house gal,anakuja kwako na mission yake,na kama wewe si muombaji na mume wako ndo hivyo hivyo lazima atashindwa kusimama.Tujitahidi kama wanawake kutimiza wajibu wetu,mengine tumuombe na kumuachia Mungu kwa nguvu zetu hatuwezi hawa viumbe wazito.........Lakini pia tuwe makini tunapochagua waume,kuna mambo/attitude/behaviour tunazionaga na tunazi-ignore kabla ya ndoa,tukishaingia ndo tunapambana nazo vizuri,tumebaki kuangalia elimu,fedha,mafanikio tukasahau kuangalia mapungufu makubwa ambayo wanaume wanayo ambayo ukisikiliza yale yanayotoka kwenye vinywa vyao na kusoma katikati ya mstari waweza jua.....
Hili kweli ni tatizo, pamoja na tamaa zetu sisi wanaume lakini wanawake wenyewe mnachangia, isingekuwa hivyo basi tatizo lingekuwa la kawaida
HG anatandika kitanda chako na mmeo (mda mwingine unamkuta kitandani anachomeka shuka), inajenga hisia taratibu
HG anaamka saa 11 alfajili kumuandalia mwanaumme chai na maji ya kuoga wewe umelala!
HG anapika chakula murua, siku katoka kidogo wewe ukipika chakula hakiliki!
HG anatake care kwa watoto kuliko mama!
HG anampokea mwanamme akirudi na mauchovu anaandaa maji ya kuoga, chakula n.k wewe uko kwenye sofa doing nothing!
HG ana umbo la mchina.
HG chumbani kwa mmeo kiguu na njia kila siku kila wakati.
Jirekebisheni la sivyo kilio kitaendelea na kitaota mizizi
Pearl:
Unajua wewe huwa na busara saaaaaana? Haya uliyoyandika najua yanatoka moyoni mwako! I wish wanawake wote walioolewa wangekuwa na mawazo haya - Dunia ingekuwa sehemu nzuri sana kuishi - BUT - very unfortunately Things have fallen apart!