Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,211
Wanaume Tubadilike Tunatafuta maisha kwa nguvu zote kwa Ajili ya familia zetu na inapotokea tumefanikiwa tunafeli sehemu ndogo sana:
.Adui huwa hatoki mbali na wewe hata siku moja.
.Kwa nn watu waanze kukutafuta baada ya mafanikio.
.Kuna watu walikuwa hawana Time kabisa na wewe Utashangaa hata namba zako wametoa wapi?
.Hata ndugu waliokuwa hawakujali wataanza kukuona wa maana.
.Ndugu zako wengine unakuja kuwajua ukubwani tena baada ya mafanikio,Huenda kipindi Mzazi wako anakuhangaikia wao walikuwa wanakula maisha.
》》Usilipize Sio lazima kila mtu awe karibu na wewe na sio kila mtu analazimisha Ukaribu nawe ni mwema kwako,Mwingine anatafuta Data za kukuangamizia kwa hiyo lazima awe karibu yako akikosa atamtumia mtu yeyote wa karibu yako!!
N.B: Ninawindwa na watu wa karibu sana ambao hawajui nimeshawajua
Bila wenyewe kujua,Ila wanashangaa
Wananikosaje? Tuwe makini sana na Ndugu zetu jamani,ni watu hatari sana!
.Adui huwa hatoki mbali na wewe hata siku moja.
.Kwa nn watu waanze kukutafuta baada ya mafanikio.
.Kuna watu walikuwa hawana Time kabisa na wewe Utashangaa hata namba zako wametoa wapi?
.Hata ndugu waliokuwa hawakujali wataanza kukuona wa maana.
.Ndugu zako wengine unakuja kuwajua ukubwani tena baada ya mafanikio,Huenda kipindi Mzazi wako anakuhangaikia wao walikuwa wanakula maisha.
》》Usilipize Sio lazima kila mtu awe karibu na wewe na sio kila mtu analazimisha Ukaribu nawe ni mwema kwako,Mwingine anatafuta Data za kukuangamizia kwa hiyo lazima awe karibu yako akikosa atamtumia mtu yeyote wa karibu yako!!
N.B: Ninawindwa na watu wa karibu sana ambao hawajui nimeshawajua
Bila wenyewe kujua,Ila wanashangaa
Wananikosaje? Tuwe makini sana na Ndugu zetu jamani,ni watu hatari sana!