bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
hahahahaaaa! unenena mkuu! anibebee maji kwani alinikuta sina mikono? anifulie kwani alikuta navaa nguo chafu? anipikie kwani alikuta nakula unga au mchele kama panya?
Alaaaaa!!
hhaaaaaaaa nini sasa una hasira??
weeee!! nani anabeba? house girl sio? au unaishi dawasco, maji hayakatiki? huendi sokoni? hutoi vitu kwenye gari kama unalo? Mimba je? sio kitu kizito, au jamaa ndo anabeba
Look at you........
maji hayakatiki... tunaenda wote store.. he is the one who push the trolly.. sitoe kitu kwenye gari.. my husband is a gentleman he dont allow me to do that...
mimba ntabeba mie but thats something else... sio ndoo ya maji🙄
he doesnt???? lucky you.......he is a real gentleman!!