Wanaume kama umetelekeza mtoto kijijini nenda kamchukue

Wanaume kama umetelekeza mtoto kijijini nenda kamchukue

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Wakuu wasalaam..

Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali .

Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10 wengi ni 7 na 8 wakifanya vibarua vya kusomba mbao yaani kuzitoa msituni na kuzipeleka lilipo gari ili tu wapate pesa ya madaftari na kwendea mnadani kununua nguo hasa "majaketi" ndo wanazungumzia sana.

Katika kuongea nao kuhusu wazazi, baadhi yao wanakaa na bibi na wengine na mama pia ila baba zao wanasikiaga wapo mjini.

Roho imeniuma sana , watoto wadogo lakini wamejivika majukumu ya kikubwa.

Mtoto kama huyu hawezi kuwa na huruma wala upendo kwa mtu baadae maana hajui neno huruma wala upendo.

Watoto hawa wanawakilisha maelfu ya watoto wengi walioko vijijini.

Wanaume kama umeacha mtoto huko vijijini eti yuko na mama yake sijui bibi yake fanya juu chini kamchukue uishi nae mwenyewe..

Kuna sehemu za nchi ukipita unaweza sema ndani ya Tanzania kuna nchi nyingine.
 
Mwagito pede ndauli?

Hayo maisha ndio tumekulia sisi watu 2000 kurudi nyuma! Ndio maana unaona leo tuko ngangari,

Wewe unataka wakachukuliwe waje mjini wawe mashoga?
Ngoja wakomae hao wakifikisha miaka 18 wanatawanyika sehemu mbalimbali nchini na yanakuwa majembe hasa.

Yani unataka waje kurundikana huku mjini wawe madereva bodaboda?
 
Mwagito pede ndauli?

Hayo maisha ndio tumekulia sisi watu 2000 kurudi nyuma! Ndio maana unaona leo tuko ngangari,

Wewe unataka wakachukuliwe waje mjini wawe mashoga?
Ngoja wakomae hao wakifikisha miaka 18 wanatawanyika sehemu mbalimbali nchini na yanakuwa majembe hasa.

Yani unataka waje kurundikana huku mjini wawe madereva bodaboda?
Sawa, hata kama wapo huko vijijini basi na huduma wapewe na siyo kutelekezwa. Nani kakudanganya eti ukipitia maisha magumu baadae utakuwa jembe? Kuna mapunga kibao tu wamepitia maisha magumu huko vijijini na wanaliwa huko huko.
 
Wakuu wasalaam..

Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali .

Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10 wengi ni 7 na 8 wakifanya vibarua vya kusomba mbao yaani kuzitoa msituni na kuzipeleka lilipo gari ili tu wapate pesa ya madaftari na kwendea mnadani kununua nguo hasa "majaketi" ndo wanazungumzia sana.

Katika kuongea nao kuhusu wazazi, baadhi yao wanakaa na bibi na wengine na mama pia ila baba zao wanasikiaga wapo mjini.
Roho imeniuma sana , watoto wadogo lakini wamejivika majukumu ya kikubwa.
Mtoto kama huyu hawezi kuwa na huruma wala upendo kwa mtu baadae maana hajui neno huruma wala upendo..
Watoto hawa wanawakilisha maelfu ya watoto wengi walioko vijijini.

Wanaume kama umeacha mtoto huko vijijini eti yuko na mama yake sijui bibi yake fanya juu chini kamchukue uishi nae mwenyewe..

Kuna sehemu za nchi ukipita unaweza sema ndani ya Tanzania kuna nchi nyingine.
Utuombe radhi! Hakuna mwanaume anaacha mtoto kwa bibi au mama! Watoto wa aina hiyo wanaachwa na Masingle mother pasua kichwa!
 
Yale majamaa yanayorun biashara Kariakoo na China yametokea vijijini huko ndanindani sana, hivyo usihofu unaongea na matajiri wa baadae, hawa wa mjini ni mateja wa baadae
 
Mwagito pede ndauli?

Hayo maisha ndio tumekulia sisi watu 2000 kurudi nyuma! Ndio maana unaona leo tuko ngangari,

Wewe unataka wakachukuliwe waje mjini wawe mashoga?
Ngoja wakomae hao wakifikisha miaka 18 wanatawanyika sehemu mbalimbali nchini na yanakuwa majembe hasa.

Yani unataka waje kurundikana huku mjini wawe madereva bodaboda?
Anataka waje mjini kujiuza na kuwa wafanyakazi wa ndani,alitakiwa kusema wazaz wawape huduma watoto wao na siyo kuwachukua na kuwaleta mjini, kulekule inawezekana wakapatiwa vifaa vya shule na vifaa vya matumizi ya yumbani.
 
Back
Top Bottom