Wanaume katika ushauri wa mapenzi

hiyo ni noma,huo ushauri kama unamuona anyekupata una mpa tu mabomu ya machozi.
 
Inafundisha watu wanaokimbilia kwenye columns kuomba ushauri kuhusu mapenzi au ndoa zao
 
Te te te teeee ha ha haaaaaaa! Duh! Hii kali kwelikweli.
 
Yap, ndio raha ya ushauri una uhuru wa kuukubali au kuukataa ushauri huo,akili kichwani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…