Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wa mwanamke uko kwenye makalio jamani! Vijana wa sasa wanasema tiGo
Hahahahahahahah haya Rev Masanilo....TiGo eeh!!! LOL!
Mungu aliwapendelea sana wadada! I miss Sukumaland wadada huweza weka kata ama mtoto mgongoni bila hata kufunga khanga
Baba mchungaji na BAK acheni kuchakachua bandiko!Sifieni tabasamu muende zenu!
Kwanza kamata thanks kwa kuleta mada inayoweza kujadiliwa sio zile eti nimtongozaje rafiki wa dadangu,kuna jamaa alikuwa na rafiki wa kike ambaye alidhamiria kumuoa akapata hela na kwakuwa alikuwa mtu wa kusafiri na alimwamini sisteri akanunua nyumba na kumuandikisha.Aliporudi akakuta bidada ana mwanamme ndani na kuambiwa atoke haraka au ataitiwa polisi hana chake pale,jamaa alilia kama mtoto na kuanza upya kutafuta hela.Najaribu kufikiria sipati jibu Nini hasa wanaume hutufanye tuhangaike kiasi hicho?/Mfano unahangaikia demu hujampata anaweza akakuita ukaacha shughuli zako ukiwa Kibaha ukaenda Kinondoni na ukufika pale Mwanamke anakuomba lift umpeleke Sinza saloon na hauoni kama nigharama wala nini !!Je nini kitusumbua cho??Je Ni umbile Je ni Vyombo??Kama ni Maumbile mbona hatuhangaiki nayo wakati majambozi??Je kama ni vyombo mbona vyote muundo wake niulule hata harufu asilia niileile??Kwa nini tusibaki na tulionao??Najitahidi kupingana na matakwa yangu nimeshindwa nauliza kwenu!!
Napenda kila kitu kwako pamoja na......na tabasamu ......na ..............napata kigugumizi cha vidole
Asante baba mchungaji!Haya endeleeni!
Mungu aliwapendelea sana wadada! I miss Sukumaland wadada huweza weka kata ama mtoto mgongoni bila hata kufunga khanga
Rev kwa heshima na taadhima kauli zako hizi mbili zinapingana kama umependa kilakitu kwa Liz usingekumbuka wadada wa Usukumani wenye kubeba mtoto bila kumfunga na kwa kuzingatia anatoka kaskazini,nawasilisha hoja.Napenda kila kitu kwako pamoja na......na tabasamu ......na ..............napata kigugumizi cha vidole
Rev kwa heshima na taadhima kauli zako hizi mbili zinapingana kama umependa kilakitu kwa Liz usingekumbuka wadada wa Usukumani wenye kubeba mtoto bila kumfunga na kwa kuzingatia anatoka kaskazini,nawasilisha hoja.
Nilimwona mgombea mwenza kwa mbali Uporoto2
Anyway mpotezee
The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:
Rev Fr Masanilo (Today)
Napenda unavyosamehe harakaAsante baba mchungaji!Haya endeleeni!
Nipo Masa acha makosa haya ya kiufundi yanayoweza msogeza Liz kipande hii hahaha!Nilimwona mgombea mwenza kwa mbali Uporoto2
Anyway mpotezee
The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:
Rev Fr Masanilo (Today)
Uporoto nakugongea Thanks kwakujali maslahi yangu ila juzi mmmh!Ngoja ninyamaze!Rev kwa heshima na taadhima kauli zako hizi mbili zinapingana kama umependa kilakitu kwa Liz usingekumbuka wadada wa Usukumani wenye kubeba mtoto bila kumfunga na kwa kuzingatia anatoka kaskazini,nawasilisha hoja.
Uporoto nakugongea Thanks kwakujali maslahi yangu ila juzi mmmh!Ngoja ninyamaze!
Ni kosa kubwa kumsifu mwanamke mwingine mbele ya Liz.Naomba Mwongozo Mh Mgombea mwenza!
Sawa anatoka Kasikani ila wazazi mmoja wapo anatoka Usukumani....Mh Uporoto01 unimesoma mambo ya kuchukua baadhi ya traits kwenye genetics wakumbuka.
Asante Mh Uporoto01
Si unaona Masa Liz is yours to lose so don't snatch defeat from the jaws of victory.Baba mchungaji hana mgombea bwana!Ye ndo mpango mzima!
Napenda unavyosamehe haraka
Nipo Masa acha makosa haya ya kiufundi yanayoweza msogeza Liz kipande hii hahaha!
Ongea tu Liz mi wala sifichi kitu mambo yote hadharani wote waone,sema dearest.Uporoto nakugongea Thanks kwakujali maslahi yangu ila juzi mmmh!Ngoja ninyamaze!
Hata hana cha kujitetea...sijui nimpe adhabu gani!Kwanza Uporoto01 ana kesi ya kujibu!
Kesi gani tena mchungaji kama kanisani nakuja na fungu la kumi natoa.Kwanza Uporoto01 ana kesi ya kujibu!