Nitakufuata pm hapa hadharanNdo usianze sasa maana jibu nishakupa
Utanitongoza hadharani?
Achana na vibamia hivo njoo huku mtoto mzuriUtanitongoza hadharani?
Kumbe!Achana na vibamia hivo njoo huku mtoto mzuri
Ndio ivo mrembo, tatizo umejichubua mno alafu mapaja yakabaki meusi[emoji23] [emoji23] [emoji378] [emoji379]Kumbe!
Kumbe!Ndio ivo mrembo, tatizo umejichubua mno alafu mapaja yakabaki meusi[emoji23] [emoji23] [emoji378] [emoji379]
Demi naomba nikuhost kwenye muosha rungu TV show jioni hapa jf live i(serious)Utanitongoza hadharani?
Connor mkuu[emoji23] [emoji23]Achana na vibamia hivo njoo huku mtoto mzuri
Itakuwa kuhusu nini?Demi naomba nikuhost kwenye muosha rungu TV show jioni hapa jf live i(serious)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaaa!Ndio ivo mrembo, tatizo umejichubua mno alafu mapaja yakabaki meusi[emoji23] [emoji23] [emoji378] [emoji379]
Maisha kwa ujumla siasa utamaduni fedha biashara kazi familia mahusiano nk.itakuwa poa sanaItakuwa kuhusu nini?
Pato la mwakaWana vitu gani vya kuwafanya kuwa matajiri? Umetumia vigezo gani kuwa rank?
Its okayMaisha kwa ujumla siasa utamaduni fedha biashara kazi familia mahusiano nk.itakuwa poa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa! Mwandiko mreeefuu! Ila una mapengo.mkuu mimi sijui kwa hao wengine ila nahisi kama nlistahili kuwa namba moja maana ...mpaka kuna watu wananishangaa kwa matumizi yangu ya pesa ambazo mi naona ni kidogo tu, naishi peke yangu na nina msichana wa kazi ambaye namlipa tsh 240,000 kwa mwezi kwa maisha ya kibongo sijui kama kuna anayenifikia hapo kati ya hao uliowataja. huyu namlipa hiyo pesa analala kwangu,anakula kwangu na matibabu anapata kwangu.
na utajiri wangu mimi si wa msimu au wa madawa yoyote yale. mimi pesa ninazo yaani hapa ndo kwake. siku nmewaambia wadau kuwa nina TV ya nchi 52 wakashangaa sasa nikaamua kuua kabisa nmenunua TV ya nch 68 nawaalika watu waje watizame mechi za EPL.... nimesikitika sana kuniweka namba 10 wakati huku kwangu ndo pesa zinakoanzia kabla ya kwenda kwenye mzunguko.
anyway hamna noma lakini .... ntawaonesha nina nini na nafanya nini. nlitoa mwaliko kwa watu walio tayari siku ya kesho nataka nichome nyama ya mbuzi ila nataka kujua idadi ya wahusika nijue ni wangapi watakuja kupata nyama choma na vinywaji mkabala wa nyama choma.
My baby. Ila tafadhali sana Muosha rungu usitongoze hii ni mboga yanguIts okay
Nimemruhusu umuhost..remember mama yako mdogo huyoMaisha kwa ujumla siasa utamaduni fedha biashara kazi familia mahusiano nk.itakuwa poa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh..My baby. Ila tafadhali sana Muosha rungu usitongoze hii ni mboga yangu