Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaume wenye mkwanja mrefu jf
Kulingana na utafiti wangu binafsi
Tafadhali changia kwa upendo
1.Troll
2.saint ivuga
3.mshana Jr
4.Daby
5.smart911
6.mtimkavu
7.Ontario
8.kikulacho
9.nyani ngabu
10.Gudume
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wahi na wewe!We kaka unawatafutia wenzio PM zao zijae bila sababu, na usawa huu wa magu hio listi inawatia dada za watu majaribun, najua saiz wengi wapo njian kuelekea PM za walengwa wa hyo list
Nimekuachia wewe ufikirie nje ya jf!!Mkuu hii ni mada ya 3 sasa naona unazungumzia mambo ya jf na member wake vipi hauna uwezo wa kufikiri nje ya hapo?
Hongera mkuu sikujua we ni pedeshee!!hao labda matajiri wa kuwa na wafuasi wengi jukwaani,but not money,u don`t know us all bro!
We kaendelee tuu kuosha rungu maana hamna namna sasawanaume wenye mkwanja mrefu jf
Kulingana na utafiti wangu binafsi
Tafadhali changia kwa upendo
1.Troll
2.saint ivuga
3.mshana Jr
4.Daby
5.smart911
6.mtimkavu
7.Ontario
8.kikulacho
9.nyani ngabu
10.Gudume
Sent using Jamii Forums mobile app
GuDume huyo msichana unaemlipa 240,000 ndio aliyekubaka hivi karibu?mkuu mimi sijui kwa hao wengine ila nahisi kama nlistahili kuwa namba moja maana ...mpaka kuna watu wananishangaa kwa matumizi yangu ya pesa ambazo mi naona ni kidogo tu, naishi peke yangu na nina msichana wa kazi ambaye namlipa tsh 240,000 kwa mwezi kwa maisha ya kibongo sijui kama kuna anayenifikia hapo kati ya hao uliowataja. huyu namlipa hiyo pesa analala kwangu,anakula kwangu na matibabu anapata kwangu.
na utajiri wangu mimi si wa msimu au wa madawa yoyote yale. mimi pesa ninazo yaani hapa ndo kwake. siku nmewaambia wadau kuwa nina TV ya nchi 52 wakashangaa sasa nikaamua kuua kabisa nmenunua TV ya nch 68 nawaalika watu waje watizame mechi za EPL.... nimesikitika sana kuniweka namba 10 wakati huku kwangu ndo pesa zinakoanzia kabla ya kwenda kwenye mzunguko.
anyway hamna noma lakini .... ntawaonesha nina nini na nafanya nini. nlitoa mwaliko kwa watu walio tayari siku ya kesho nataka nichome nyama ya mbuzi ila nataka kujua idadi ya wahusika nijue ni wangapi watakuja kupata nyama choma na vinywaji mkabala wa nyama choma.
Mkuu eti wanataka waone salary slip ya house girl!!mkuu mimi sijui kwa hao wengine ila nahisi kama nlistahili kuwa namba moja maana ...mpaka kuna watu wananishangaa kwa matumizi yangu ya pesa ambazo mi naona ni kidogo tu, naishi peke yangu na nina msichana wa kazi ambaye namlipa tsh 240,000 kwa mwezi kwa maisha ya kibongo sijui kama kuna anayenifikia hapo kati ya hao uliowataja. huyu namlipa hiyo pesa analala kwangu,anakula kwangu na matibabu anapata kwangu.
na utajiri wangu mimi si wa msimu au wa madawa yoyote yale. mimi pesa ninazo yaani hapa ndo kwake. siku nmewaambia wadau kuwa nina TV ya nchi 52 wakashangaa sasa nikaamua kuua kabisa nmenunua TV ya nch 68 nawaalika watu waje watizame mechi za EPL.... nimesikitika sana kuniweka namba 10 wakati huku kwangu ndo pesa zinakoanzia kabla ya kwenda kwenye mzunguko.
anyway hamna noma lakini .... ntawaonesha nina nini na nafanya nini. nlitoa mwaliko kwa watu walio tayari siku ya kesho nataka nichome nyama ya mbuzi ila nataka kujua idadi ya wahusika nijue ni wangapi watakuja kupata nyama choma na vinywaji mkabala wa nyama choma.
Cc Gudume!Mwee! Huyo Gudume mwenyewe anakaa nyumba ya chumba kimoja na analala humo humo na house girl nusu abakwe!
HahahWe kaendelee tuu kuosha rungu maana hamna namna sasa
Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
Hahhhaaa upo kumbe bby wangu tajir hvo[emoji12]wewe jamaa watakuoiga ban. hii thread i[peleke chit chat ama kwenye jukwaa la jokes
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]ooh nilikuwa sijaona.
kumbe ndio maana pm yangu imejaa ghafla
Pesa ndefu hivyo. Najua bado hujapata wa kumreplace. Nipo tayari kwa kazindo huyo ndugu yangu...yaani kumbe namlipa aje anitendee jambo hilo....we acha tu. hawa madada wa siku hizi hawana soni kabisa.