Sa kama mtu hana akili Je?Pia akili (mindset)
Afe tuSa kama mtu hana akili Je?
Ukweni ni kwamba wanawake huchangia pakubwa kulikuza hli tatizo...unakuta wakati unaoa ulikua unatembeza round3 kwa kua mwanamke nae anatoa ushirikiano
Siku zinavyozid kwenda ushirikiano kwa mwanamke hupungua..mwisho wa siku mwanamke anajisahau kabisa na kukuachia wewe kila kitu
Yan ufike nyumban umechoka upo full mastress..af ukifika mda Wa game umuandae wewe huku yeye katulia anaangalia juu tu..umalize kumuandaa upige game ad amalize ndio wewe ujikakamue umalize
Af ukimaliza anakaa pemben asubir umuanze wewe tena
MIMI NASEMA KUNGEKUA KUNA WEZEKANO WAKUPIGA NUSU ACHILIA KIMOJA NINGEPIGA!
Af unashangaa ikitokea ukiwa ugenini unapiga round za kutosha tu!
Wanawake mjirekebishe sio mnatupigia makelele hapa!
Point!Lakini pia kumbuka suala zima la maisha ya sasa, maisha ya sasa yamekuwa yakukimbizana mno.
Hela inapatikana kwa taabu kwa asilimia kubwa ya watu na wahanga wa hili ni hao wanaume, hivyo muda mwingi stress zimewajaa.
Utapata wapi nguvu za kula mzigo ipasavyo wakati unajua una deni la kodi ya nyumba, ada za watoto, mama na baba wanakutegemea na wewe malengo yako hayatimii?
Hili suala ni pana sana na hali itaendelea kuwa mbaya zaidi.
Jamani habarini za muda huu, tatizo la wanaume wengi kukumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kurudia katika tendo la ndoa limekuwa miongoni mwa matatizo makubwa karibia dunia nzima, na madaktari wa uongo wamekuwa wakiongezeka kila kukicha, so ili kuwanusuru wanaume katika hili.
Wewe kama mdau una nini cha kushauri, ili kunusuru ndoa ???
Jibu la kikatili sana daaahh wewe dd[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Afe tu
Hakuna maana kuishi bila hiyo kitu kusimama na kuingia kwenye pangoJibu la kikatili sana daaahh wewe dd[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hahahaha kweli bora ufe watu wajitahidi kujitibu saikoloji aseeHakuna maana kuishi bila hiyo kitu kusimama na kuingia kwenye pango
Ni akili tu ikiwekwa vizurii unakuwa poaHahahaha kweli bora ufe watu wajitahidi kujitibu saikoloji asee
Kabisaa asee haya madawa mengine ndo yanaua kbsaaa. Kitu kina lala doloooo mazimaNi akili tu ikiwekwa vizurii unakuwa poa
Yaan acha tu watu watibu akili zao tuKabisaa asee haya madawa mengine ndo yanaua kbsaaa. Kitu kina lala doloooo mazima
MkuuJamani habarini za muda huu, tatizo la wanaume wengi kukumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kurudia katika tendo la ndoa limekuwa miongoni mwa matatizo makubwa karibia dunia nzima, na madaktari wa uongo wamekuwa wakiongezeka kila kukicha, so ili kuwanusuru wanaume katika hili.
Wewe kama mdau una nini cha kushauri, ili kunusuru ndoa ???