Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa... Mkuu
Mimi ni mmoja wapo ambao natumia avatar ya kike,
Sababu ni kwamba hakuna sheria inayosema mwanamke atumie avatar ya kike au ya kiume hata hivyo ukitaka kumfuata mtu pm angalia kwanza akaunti yake isome vyema kwa umakini wala usikurupuke.
Mimi nimepata meseji kama hizo za usumbufu kutoa kwa wanaume lakini huwa sijibu ila nafuta meseji na kuendelea na mambo mengine.
Tatizo watu hasa watz hukariri kuwa I'd ya kike ni mwanamke na I'd ya kiume ni mwanaume ikitokea I'd ya kike ni mwanaume basi hudhani ni shoga sasa kama amemuweka mwanamke lakini ni rafiki yake au ndugu yake au mchumba wake au mama yake au role model wake utajuaje acheni kuishi kwa kukariri,
Jf ni sehemu ya kujifunza mambo mengi muhimu sio kufuatiliana I'd ......
Angalia usivunjike nakufuata huko huko [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]kumbe na wewe ni kidume .....yellewiiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nawewe avatar yakohuyo jamaa anayecheka ni mwanamke mwanaume?[emoji20]hivi kwanini unatumia avatar ya kike
wakati wewe ni dume??
Mbona nawe ni muhangaSasa watu wameona maumbile yao Na hisia zao ni ke zaidi
Ila twende mbele turudi nyuma inatesa kisaikolojia mimi mwenyewe ni mhanga wa wakware wa humu JF kwa gharama ya avatar ya mpenzi wanguHahaaa... Mkuu
Mimi ni mmoja wapo ambao natumia avatar ya kike,
Sababu ni kwamba hakuna sheria inayosema mwanamke atumie avatar ya kike au ya kiume hata hivyo ukitaka kumfuata mtu pm angalia kwanza akaunti yake isome vyema kwa umakini wala usikurupuke.
Mimi nimepata meseji kama hizo za usumbufu kutoa kwa wanaume lakini huwa sijibu ila nafuta meseji na kuendelea na mambo mengine.
Tatizo watu hasa watz hukariri kuwa I'd ya kike ni mwanamke na I'd ya kiume ni mwanaume ikitokea I'd ya kike ni mwanaume basi hudhani ni shoga sasa kama amemuweka mwanamke lakini ni rafiki yake au ndugu yake au mchumba wake au mama yake au role model wake utajuaje acheni kuishi kwa kukariri,
Jf ni sehemu ya kujifunza mambo mengi muhimu sio kufuatiliana I'd ......