ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Ngoja kwanza nichekeemmyta miss chagga ukhuty
Hivi hao wanaume mlionao kama mkigundua kua hizo nywele zao ni mawigi matupu.....hahaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza nichekeemmyta miss chagga ukhuty
Hivi hao wanaume mlionao kama mkigundua kua hizo nywele zao ni mawigi matupu.....hahaaaaaaaa
Ni kukosa vya kuigani kwanini mwanaume uvae nywele za maiti?
vipara vizuriHahahaaaa! Kweli kabisa mumy eti wanajifanya hawataki vipara.
Hawajajua tu.vipara vizuri
shauri yaoHawajajua tu.
Hahahaaa! Na ndio wanapotea hivyo.shauri yao
ngoja nikomae nae huyu wangu na upara wakeHahahaaa! Na ndio wanapotea hivyo.
dawa kuwachuna tuwanaume wa dar bna.hizo ndo side effects za chips mayai.utasikia wataanza kuvaa vikuku na chupi za malesi lesi naza maua km ya alizeti
Kabisa! Hao ndio wale wavulana ambao hata wakila chakula wanabakisha eti wameshiba yaani tabu tupu.Hawajitambui hawa!
Kabisa! Hao ndio wale wavulana ambao hata wakila chakula wanabakisha eti wameshiba yaani tabu tupu.
Njoo kwangu napigilia mabugaloo na mapensi nyanyaMakubwa hayo! ukistaajabu ya Musa utaona ya Bashite, yaani wanaume nini hasa wapendwa kinawasumbua? mie hata mwanamme wakuvaa vi skin jeans hanivutii, mara viji mashati vya modo, ooooooooooooooops! agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Unafanya vema hata NYETI ZAKO ZINAPATA PUMZI hahahahahahahahahahahNjoo kwangu napigilia mabugaloo na mapensi nyanya
KAZI NYINGINE MICHOSHO TUila binadamu kazi tunayo
Hahahaaa! Ila kazi ipo mana kuwabadilisha sio rahisiHahahahahaha lol! husikia vibaya sana kupakua mlima halafu kuubakisha. Ni lazima ukitendee chakula haki yake. 🙂🙂
na joto hili la dar ha hahaaKAZI NYINGINE MICHOSHO TU
Hadi nimecheka kwa sauti. Kumbe na wewe mchokozi saa zingine.Unafanya vema hata NYETI ZAKO ZINAPATA PUMZI hahahahahahahahahahah