Wanaume kwanini baada ya tendo mnalala na kutuacha wenyewe?

Wanaume kwanini baada ya tendo mnalala na kutuacha wenyewe?

Hiyo tabia ya Wanaume wa DarDom ila sisi wa mikoani hatunaga usingizi baada ya sex
 
Naomba mnisaidie hili suala,kwa nini baada ya sex mnalala ghafla na kutuacha sisi tukiwa macho..mnachoka mnakuwa hoi

Hebu tiririka majibu yenu coz huwa nachukia mwanaume anamaliza tu anaanza kukoroma
Usiseme wanaume, bali kuwa specific kwa kumention uliokutana nao. Mfano "Kwann Juma, Hamis, Joachim, Chacha, Muta huwa mlikuwa mnalala mkisha maliza kunikaza?"

Usitubebeshee makosa ya wengine.
 
sijui ilakwa upande wangu baada ya mgegedo dem ndio hua analala na akiamka anatembea kama ana majipu kwenye nyayo
 
Nadhani kuna uzi uliwahi anzishwa kuhusu hili, jaribu kuutafuta
 
Nimewahi kusoma andiko linaloelezea kisa cha wanaume kulala usingizi fo fo fo baada ya tendo la ndo. Ni kwamba wanaume wana tezi ambayo iko kwenye ubongo ambayo huchochea hisia za tendo. Mara baada ya bao tu tezi hiyo hupoteza nguvu za kuendelea kuufanya mwili uwe active hivyo mwanaume hujihisi uchovu na uoni hafifu kisha hulala na kusinzia kabisa. Ikumbukwe kuwa hili halichagui kibamia wala karoti bali ni kwa kila mwanaume mwenye uwezo wa kugegeda. Wanawake eleweni kuwa hii kitu si tendo la hiari kwa mwanaume bali tezi hii hupoteza nguvu.
 
Mimi sinaga hiyo tabia...

Hata kama nikimaliza kugegeda siwezi kulala usingizi wa kukoloma aisee!!

Tena ukute demu mpya kifaa/chombo/kisu....

Nikimaliza tu naacha dushe humohumo ndani then nalala kidogo...

Nikisituka tu naliamusha tena...

Wanaokoloma watakuwa na tatizo la upungufu wa madini.....
Hiyo ya kuacha dushe humo humo sijaelewa
 
Umefanya research yako kwa wanaume wangap?
Kwasababu nijuavyo mwanaume unatakiwa uwe wa mwisho kulala hata kama hujala mzigo siku hiyo, lazma uhakikishe bint kalala then ww ndo unaupa
Akiwa hajala mzigo huwa hasinzii..siku ambayo amekula ndo nasemea
 
Akiwa hajala mzigo huwa hasinzii..siku ambayo amekula ndo nasemea
Mm nachojua atakaewai kulala baada ya mzigo ndo kibonde siku iyo,
Mwanamke akipigwa show yakueleweka lazma alale tena usingizi mnono hasa na hachukui round,
 
Sio wote ila jaribu tena mwingine usipoingia mvunguni mwa kitanda. Hebu imba ule wimbo mzuri " mwanaume mashine"
 
Cutelove Kwa niaba ya wanaume I'm sorry.but hii ni how many times imekutokea? because wanaume wote hali hii inawatokea!
 
Aisee ukipiga show lakibabe lazima ukiisha ulale tu

Kwan mwil unakua umechoka sna na akil inakua well relaxed.....
 
Huwa tunakua hatujalala, ukiona ivo ujue tunakuaga tunatasimini, gwaride kwa kinagaubaga kimya kimya.
 
Back
Top Bottom