Wanaume leo naomba niwape maua yenu
Kundi hili ni la wanaume wapumbavu ambao hawastahili pongezi, infact wanaidhalilisha jinsia ME.

How comes you become a step father? Have you failed to find yourself a woman that has kept herself pure for that long? Why are you opting to enter the conflicts that you were never part of before?

Before accepting being step father first you must know, you are a man that single mother would not date you if she did not have kids. The man who get her pregnant was her type not you. She is with you because her type left her for a better woman. Infact, she is dating you now because you're a fool.
Wewe umepwaya, ungechukua maua yako kwenye yale yanayokufaa, hili ukaliacha.
Please learn from and listen to men who understand how harsh life can be for children and recognize the importance of stepping up to support an innocent child.

Siyo lazima kuwa step dad, ni moyo wa mtu tu.
 
Wewe umepwaya, ungechukua maua yako kwenye yale yanayokufaa, hili ukaliacha.
Please learn from and listen to men who understand how harsh life can be for children and recognize the importance of stepping up to support an innocent child.

Siyo lazima kuwa step dad, ni moyo wa mtu tu.
Ambapo panafaa nimechukua maua lakini haimaanishi ambayo hayafahi yafumbiwe macho. Hata kuwa shoga ni moyo wa mtu je tufumbie machp vitendo vya kishoga?

Haya unayaongea kwa mtazamo wa kuilinda jinsia yako lakini nina uhakika kabisa hata wewe mwenyewe ugundue mtoto wako wa kiume yupo mbioni kuoa single mother hautakubali/hautafurahia.

Mnavyotoa izo sifa muwe mnafikiria zikiingia kwenye familia yako upo tayari kuzipokea? Ukisema kitanda hakizai haramu fikiria je kaka ako akibambikiwa mtoto utachukulia vipi iko kitendo?
 
Kaka mkubwa hawa wasio single maza, unataka kusema wao ni bikra hawajapitiwa au ni kitu gani???? Wengine hawana vizazi kwa matumizi ya excessive P2.

Japo single maza wengi akili hawana ndio maana wakaachika even with strong men.

Basi na wengine wametoa mimba kwa kuabort watoto walio hai tumboni.
Mimi nakukumbusha tu kijana wangu. Huyu mwanamke wa kisasa unaemuonea huruma na kumpigania hapa, utakapofika wakati wewe umeingia kwenye mtego wake au anatakiwa kuchagua kimoja kati ya wewe au masilahi yake tambua kwamba hatakua na huruma kama hii ya kwako. She will stand firm and determimed to embrace her selfishness or to fvck your life ruthless
 
Ambapo panafaa nimechukua maua lakini haimaanishi ambayo hayafahi yafumbiwe macho. Hata kuwa shoga ni moyo wa mtu je tufumbie machp vitendo vya kishoga?

Haya unayaongea kwa mtazamo wa kuilinda jinsia yako lakini nina uhakika kabisa hata wewe mwenyewe ugundue mtoto wako wa kiume yupo mbioni kuoa single mother hautakubali/hautafurahia.

Mnavyotoa izo sifa muwe mnafikiria zikiingia kwenye familia yako upo tayari kuzipokea? Ukisema kitanda hakizai haramu fikiria je kaka ako akibambikiwa mtoto utachukulia vipi iko kitendo?
Kiongozi, mimi nina watoto wa kiume wawili. Mwanangu yoyote akileta msichana nyumbani ambaye ana mtoto na baba wa mtoto hayuko kwenye maisha ya huyo mtoto. Nitafurahi sana akiniambia ameamua kubeba majukumu ya kumsaidia popote anapoweza, na kama hajafanya hivyo nitamsisitiza afanye.

Hiyo ni sadaka mkuu, watoto wanateseka kwa sababu ya migogoro ambayo hawakushiriki kuitengeneza. Hata kama mama ana makosa, haimaanishi mtoto hastahili malezi na inabidi aadhibiwe na kulipia madhambi ya mama yake.
 
🎼🎼KAMZIKI KIDOGO KWA AJILI YAKO Th49
 
Kundi hili ni la wanaume wapumbavu ambao hawastahili pongezi, infact wanaidhalilisha jinsia ME.

How comes you become a step father? Have you failed to find yourself a woman that has kept herself pure for that long? Why are you opting to enter the conflicts that you were never part of before?

Before accepting being step father first you must know, you are a man that single mother would not date you if she did not have kids. The man who get her pregnant was her type not you. She is with you because her type left her for a better woman. Infact, she is dating you now because you're a fool.
MaJuzi bhana nikapata single mother tukaanza mahusiano akaniambia mtoto wake anaishi kwa mama mkwe na amezaa akiwa na miaka 17, punde si punde nasikia kijana kajinyonga Baada ya kuambiwa mtoto sio wake😅🥶father nimekimbia mita Mia sijaangalia nyuma

Demu Leo anapiga😅sku ya nne spoke simu
 
Kaka mkubwa hawa wasio single maza, unataka kusema wao ni bikra hawajapitiwa au ni kitu gani???? Wengine hawana vizazi kwa matumizi ya excessive P2.

Japo single maza wengi akili hawana ndio maana wakaachika even with strong men.

Basi na wengine wametoa mimba kwa kuabort watoto walio hai tumboni.
Unatetea ni wewe mbona unaleta ukike babu kaza basi,
Hivi wewe ni kipofu, masikio huna
Matukio ni mangapi? Yanayogharimu maisha ya vijana

Ni heri nianze kupata watoto na mnywa p2 lakini sio single maza
 
Mimi nakukumbusha tu kijana wangu. Huyu mwanamke wa kisasa unaemuonea huruma na kumpigania hapa, utakapofika wakati wewe umeingia kwenye mtego wake au anatakiwa kuchagua kimoja kati ya wewe au masilahi yake tambua kwamba hatakua na huruma kama hii ya kwako. She will stand firm and determimed to embrace her selfishness or to fvck your life ruthless
Lipumbafu hilo linajifanya tetezi la retired hoes
 
Mimi nakukumbusha tu kijana wangu. Huyu mwanamke wa kisasa unaemuonea huruma na kumpigania hapa, utakapofika wakati wewe umeingia kwenye mtego wake au anatakiwa kuchagua kimoja kati ya wewe au masilahi yake tambua kwamba hatakua na huruma kama hii ya kwako. She will stand firm and determimed to embrace her selfishness or to fvck your life ruthless
Umakini ni lazima huwa wako hivo.
 
Unatetea ni wewe mbona unaleta ukike babu kaza basi,
Hivi wewe ni kipofu, masikio huna
Matukio ni mangapi? Yanayogharimu maisha ya vijana

Ni heri nianze kupata watoto na mnywa p2 lakini sio single maza
😅😅😅😅 mambo ya kuruka mkojo na kukanyaga mavi....
 
Lipumbafu hilo linajifanya tetezi la retired hoes
😅😅😅 niko mguu pande mguu sawa lazima niwe na interest na kote kwa malezi ya watoto, mwanaume unavo zaa nje yaani kataa ndoa kuna namna unaminya haki za watoto.
Kuhusu single maza sitetei sana, maana akili ya single maza huwa ina mambo mengi kama waanua maturubali kwenye matanga leo shughuli hapa kesho pale maana wanahama hama kwa wanaume.
 
Kiongozi, mimi nina watoto wa kiume wawili. Mwanangu yoyote akileta msichana nyumbani ambaye ana mtoto na baba wa mtoto hayuko kwenye maisha ya huyo mtoto. Nitafurahi sana akiniambia ameamua kubeba majukumu ya kumsaidia popote anapoweza, na kama hajafanya hivyo nitamsisitiza afanye.

Hiyo ni sadaka mkuu, watoto wanateseka kwa sababu ya migogoro ambayo hawakushiriki kuitengeneza. Hata kama mama ana makosa, haimaanishi mtoto hastahili malezi na inabidi aadhibiwe na kulipia madhambi ya mama yake.
Baba wa watoto yupo wapi??
 
Back
Top Bottom