Wanaume leo naomba niwape maua yenu
Kundi hili ni la wanaume wapumbavu ambao hawastahili pongezi, infact wanaidhalilisha jinsia ME.

How comes you become a step father? Have you failed to find yourself a woman that has kept herself pure for that long? Why are you opting to enter the conflicts that you were never part of before?

Before accepting being step father first you must know, you are a man that single mother would not date you if she did not have kids. The man who get her pregnant was her type not you. She is with you because her type left her for a better woman. Infact, she is dating you now because you're a fool.
Umeandika English nyingi lakini unaonekana Bado Hauna misuli kama ya wanaume kamili, you are not yet matured
 
Kiongozi, mimi nina watoto wa kiume wawili. Mwanangu yoyote akileta msichana nyumbani ambaye ana mtoto na baba wa mtoto hayuko kwenye maisha ya huyo mtoto. Nitafurahi sana akiniambia ameamua kubeba majukumu ya kumsaidia popote anapoweza, na kama hajafanya hivyo nitamsisitiza afanye.

Hiyo ni sadaka mkuu, watoto wanateseka kwa sababu ya migogoro ambayo hawakushiriki kuitengeneza. Hata kama mama ana makosa, haimaanishi mtoto hastahili malezi na inabidi aadhibiwe na kulipia madhambi ya mama yake.
Mimi mwanangu wa kiume akileniletea single mother eti ndio mke ilo suala sitakubaliana nalo.

kama akiamua kumuoa ni maamuzi yake lakini mimi siwezi kukubali na nitamueleza wazi iyo ndoa yao siitambui na sitashiriki kwa chochote.

Single mother ni laana na siwezi kukubaliana na laana iingie kwenye kizazi changu, ni bora nijiweke pembeni ijulikane sijashiriki iyo dhambi.
 
Mimi mwanangu wa kiume akileniletea single mother eti ndio mke ilo suala sitakubaliana nalo.

kama akiamua kumuoa ni maamuzi yake lakini mimi siwezi kukubali na nitamueleza wazi iyo ndoa yao siitambui na sitashiriki kwa chochote.

Single mother ni laana na siwezi kukubaliana na laana iingie kwenye kizazi changu, ni bora nijiweke pembeni ijulikane sijashiriki iyo dhambi.
Basi sawa boss, kama wazazi tukubaliane kwamba tunatofautiana kimitazamo.
Nakuombea kijana wako akuletee mkwe unayemtaka!
 
Umeandika English nyingi lakini unaonekana Bado Hauna misuli kama ya wanaume kamili, you are not yet matured
Kama kuwa matured ndio kushusha class yangu na kukubaliana na reckeless life ya mwanamke basi acha niendelee kuwa immatured
 
Jamii zetu za kiafrika zimeweka mzigo mkubwa sana kwa mwanaume.
Naomba kutambua mchango wenu na kuwapa maua yenu kama ishara ya shukrani.

Shukrani za dhati ziwaendee;

🌹 Wanaume wanaoweka juhudi katika kazi zao halali, wakifanya kwa uaminifu na kujituma ili kujenga maisha bora kwao na familia zao – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaopambana kuhudumia familia zao bila kuchoka na kulea watoto wao kwa mapenzi na maadili mema – pokeeni maua yenu, tunawashukuru.

🌹 Wanaume wanaoshikamana na marafiki zao kwa uaminifu, kusaidiana katika shida na raha, na kuwa nguzo ya kweli kwa wenzao – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume waliotoka kwenye maisha magumu na wanapambana kila siku kuhakikisha vizazi vyao vinaishi maisha bora kuliko wao – pokeeni maua yenu, tunawashukuru sana.

🌹 Wanaume wanaopambana na changamoto za afya ya akili kimya kimya, wakitafuta suluhisho bila kukata tamaa – pokeeni maua yenu, tunawatambua na kuwathamini.

🌹 Wanaume waliowahi kupitia maumivu makali (kuachwa, kupoteza wapendwa, kufeli, kuumizwa) lakini bado walisimama tena na kusonga mbele – pokeeni maua yenu!

🌹 Wanaume wanaopambana na hali ngumu za maisha bila kulalamika na bado wanajitahidi kutokata tamaa na kutia wengine moyo – tunawashukuru, pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaosimamia shughuli za kijamii; likitokea tatizo wao ndiyo mstari wa mbele kupambana (mwizi mtaani wamo, misiba, sherehe, n.k.) – pokeeni maua yenu na asanteni sana.

🌹 Wanaume wanaolea watoto wa wenza wao bila kuwabagua na kuhakikisha wanasimamia nafasi zao kama wazazi wenza – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaohakikisha wazazi wao na wale wa wenza wao wanatunzwa na kuheshimiwa – tunawashukuru, pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaowapenda, kuwaheshimu, kuwalinda na kuwasaidia wenza wao – pokeeni maua yenu na asanteni sana.

🌹 Wanaume wanaopigania maslahi ya wananchi na wanajamii wenzao, kuhakikisha usawa na haki zinazingatiwa kwa kila mmoja – tunawashukuru sana, pokeeni maua yenu.


Leo ni siku yenu, hasa wale wanaume wanaojituma na hawapati "ASANTE" wanazostahili. Shukrani kwa yote mnayofanya na kutufanyia 💐✨.


Ongeza na wewe sababu za ziada za kuwapa maua yao wanaume wa shoka kwenye jamii na maisha yetu.

PS:

Wale mnaopwaya pwaya hii nyuzi haiwahusu, ila mnaweza kujifunza kutoka kwa wenzenu.
Asante kwa ujumbe mzuri lkn tunafaham majukumu yetu
 
MaJuzi bhana nikapata single mother tukaanza mahusiano akaniambia mtoto wake anaishi kwa mama mkwe na amezaa akiwa na miaka 17, punde si punde nasikia kijana kajinyonga Baada ya kuambiwa mtoto sio wake😅🥶father nimekimbia mita Mia sijaangalia nyuma

Demu Leo anapiga😅sku ya nne spoke simu
Kuna sababu za usingle mother angalao unaweza kutumia busara na kuzipotezea, mfano baba mtoto amefariki au mwanamke alipewa mimba akiwa mdogo mfano iyo miaka 17 maana bado akili haijakomaa vizuri kwaiyo ni rahisi kudanganyika. Lakini hawa wanaopewa mimba yakiwa 20+ kwa sababu ya umapepe wao kaa nao mbali, haya ni kwa ajiri ya hit and run tu sio kufanya nao maisha
 
Kuna sababu za usingle mother angalao unaweza kutumia busara na kuzipotezea, mfano baba mtoto amefariki au mwanamke alipewa mimba akiwa mdogo mfano iyo miaka 17 maana bado akili haijakomaa vizuri kwaiyo ni rahisi kudanganyika. Lakini hawa wanaopewa mimba yakiwa 20+ kwa sababu ya umapepe wao kaa nao mbali, haya ni kwa ajiri ya hit and run tu sio kufanya nao maisha
Natamani nitume Ata voice note mkuu🥶
 
Jamii zetu za kiafrika zimeweka mzigo mkubwa sana kwa mwanaume.
Naomba kutambua mchango wenu na kuwapa maua yenu kama ishara ya shukrani.

Shukrani za dhati ziwaendee;

🌹 Wanaume wanaoweka juhudi katika kazi zao halali, wakifanya kwa uaminifu na kujituma ili kujenga maisha bora kwao na familia zao – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaopambana kuhudumia familia zao bila kuchoka na kulea watoto wao kwa mapenzi na maadili mema – pokeeni maua yenu, tunawashukuru.

🌹 Wanaume wanaoshikamana na marafiki zao kwa uaminifu, kusaidiana katika shida na raha, na kuwa nguzo ya kweli kwa wenzao – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume waliotoka kwenye maisha magumu na wanapambana kila siku kuhakikisha vizazi vyao vinaishi maisha bora kuliko wao – pokeeni maua yenu, tunawashukuru sana.

🌹 Wanaume wanaopambana na changamoto za afya ya akili kimya kimya, wakitafuta suluhisho bila kukata tamaa – pokeeni maua yenu, tunawatambua na kuwathamini.

🌹 Wanaume waliowahi kupitia maumivu makali (kuachwa, kupoteza wapendwa, kufeli, kuumizwa) lakini bado walisimama tena na kusonga mbele – pokeeni maua yenu!

🌹 Wanaume wanaopambana na hali ngumu za maisha bila kulalamika na bado wanajitahidi kutokata tamaa na kutia wengine moyo – tunawashukuru, pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaosimamia shughuli za kijamii; likitokea tatizo wao ndiyo mstari wa mbele kupambana (mwizi mtaani wamo, misiba, sherehe, n.k.) – pokeeni maua yenu na asanteni sana.

🌹 Wanaume wanaolea watoto wa wenza wao bila kuwabagua na kuhakikisha wanasimamia nafasi zao kama wazazi wenza – pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaohakikisha wazazi wao na wale wa wenza wao wanatunzwa na kuheshimiwa – tunawashukuru, pokeeni maua yenu.

🌹 Wanaume wanaowapenda, kuwaheshimu, kuwalinda na kuwasaidia wenza wao – pokeeni maua yenu na asanteni sana.

🌹 Wanaume wanaopigania maslahi ya wananchi na wanajamii wenzao, kuhakikisha usawa na haki zinazingatiwa kwa kila mmoja – tunawashukuru sana, pokeeni maua yenu.


Leo ni siku yenu, hasa wale wanaume wanaojituma na hawapati "ASANTE" wanazostahili. Shukrani kwa yote mnayofanya na kutufanyia 💐✨.


Ongeza na wewe sababu za ziada za kuwapa maua yao wanaume wa shoka kwenye jamii na maisha yetu.

PS:

Wale mnaopwaya pwaya hii nyuzi haiwahusu, ila mnaweza kujifunza kutoka kwa wenzenu.
Akhsante sana binti Theresa49 .
 
Kuna sababu za usingle mother angalao unaweza kutumia busara na kuzipotezea, mfano baba mtoto amefariki au mwanamke alipewa mimba akiwa mdogo mfano iyo miaka 17 maana bado akili haijakomaa vizuri kwaiyo ni rahisi kudanganyika. Lakini hawa wanaopewa mimba yakiwa 20+ kwa sababu ya umapepe wao kaa nao mbali, haya ni kwa ajiri ya hit and run tu sio kufanya nao maisha
Hapo ndio unakuja vizuri sasa mwanamke wa 23+ mwenye amepewa mimba na huo umri huyo ni wakumkwepa wengi wanakuwa matured na walishindwa kuishi na mwanaume.
Miaka 14 mpaka 19 tuwaonee huruma kwa kweli, they were teenegers.
 
Hapo ndio unakuja vizuri sasa mwanamke wa 23+ mwenye amepewa mimba na huo umri huyo ni wakumkwepa wengi wanakuwa matured na walishindwa kuishi na mwanaume.
Miaka 14 mpaka 19 tuwaonee huruma kwa kweli, they were teenegers.
Kwenu labda ujue mimi nimefundisha shule miaka kadhaa hao unaosema ni teenagers 14-19 wana mambo makubwa mzee sio poa
 
Hapo ndio unakuja vizuri sasa mwanamke wa 23+ mwenye amepewa mimba na huo umri huyo ni wakumkwepa wengi wanakuwa matured na walishindwa kuishi na mwanaume.
Miaka 14 mpaka 19 tuwaonee huruma kwa kweli, they were teenegers.
Kwa dunia ya sasa labda wa 14-16 ndo tuwasamee, wengi wanakuaga o-level bado wapo chini ya uangalizi wa baba na mama kwaiyo ikitokea kapata mimba basi kadanganywa na bodaboda, mwalimu au mwanafunzi mwenzake ila wa 17-19 hao wanasoma bweni a-level, wapo chuo(kwenye certificate au diploma) au shule imewashinda wapo tu home, hao hawafai mzee mwenzangu nenda kitambaa cheupe wamejaa kibao wanauza mpaka mtandao pendwa
 
Back
Top Bottom