Wanaume maskini, wenye elimu na upeo mdogo wa kufikiri kutoka jamii duni ndiyo hukataza wake zao kufanya kazi za Uzalishaji

Wanaume maskini, wenye elimu na upeo mdogo wa kufikiri kutoka jamii duni ndiyo hukataza wake zao kufanya kazi za Uzalishaji

Wewe jamaa saikolojia yako inakutuma vibaya. Kwahiyo wewe unajua sana kushinda Mungu aliyesema utazaa kwa uchungu. Maaana yake ni kuzaa na kulea. Na wewe mwanaume utakula kwa jasho. Ni kuipatia mahitaji familia.

Embu eleza kwa namna ipi mungu kusema Adamu ale kwa jasho kuna mkatazaje Mwanamke kufanya Kazi zisizotoa jasho au zisizotumia misuli(nguvu).

Embu kasome kutoka 20:8-10 alafu uone hiyo amri kaandikiwa mtu au kaandikiwa mwanamke u mwanaume au wote

Kwa mtizamo wako huu mbovu WAARABU wote ni maskini. Hii kazi inakushinda

Aliyekuambiwa waarabu hawafanyi Kazi ni Nani?

Asilimia 40 ya wateja wangu ni wanawake wakiarabu na wanafanya biashara huko mjini
 
Hawa viumbe uhuru ukizid tegemea maajabu makubwa sana kwenye ndoa , hawa ni wakuwekewa mipaka na wakuchungwa nama mbuzi tu,

Mwanadamu yeyote Uhuru ukizidi lazima utegemee maajabu.

Unavyosema hivyo ni Sawa na wazungu wanaoona waafrika wakiweza kujitegemea(kuwa huru) kwao itawasumbua kwa sababu watashindwa kuwanyonya.

Ndivyo wanaume wenye mtazamo kama wako.

Mwanamke akishakuwa huru akitegemee kitakachowaunganisha ni upendo tuu na sio unafiki nafiki na utapeli unaondelea siku hizi
 
Leo umenigusa jamaa!!
Mimi sijawahi mgomea mke kuanzisha biashara japo wakiwa na hela nyingi ninkipimo Cha urijali!!
 
Vyote na viamini Quran na injili na torati.

Sawa ntatumia Torati
Kutoka 20:8-11

Kutoka 20:8-11​

Kutoka 20:8-11 BHN​

BHNSUVNenoSRUV
“Usisahau kuiweka takatifu siku ya Sabato. Siku sita fanya kazi na tenda mambo yako yote. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwanao, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala watumishi wako wa kike, wala mnyama wako wa kufugwa, wala mgeni aliye nyumbani mwako. Maana kwa siku sita mimi Mwenyezi-Mungu niliziumba mbingu na dunia, bahari na vyote vilivyomo, kisha nikapumzika siku ya saba. Kwa hiyo mimi Mwenyezi-Mungu niliibariki siku ya Sabato, nikaitakasa.

Aya hizi kuna amri mbili, amri ya IBADA ya Kufanya Kazi kwa siku sita.
Amri ya pili ni mapumziko kwa siku ya sabato.

Amri zote hizo kaamrishwa Mwanadamu bila kujali ni wakike au wakiume.

Amri hiyo IPO kwenye amri kumi za Musa alizopewa Pale mlima Sinai.
 
Embu eleza kwa namna ipi mungu kusema Adamu ale kwa jasho kuna mkatazaje Mwanamke kufanya Kazi zisizotoa jasho au zisizotumia misuli(nguvu).

Embu kasome kutoka 20:8-10 alafu uone hiyo amri kaandikiwa mtu au kaandikiwa mwanamke u mwanaume au wote



Aliyekuambiwa waarabu hawafanyi Kazi ni Nani?

Asilimia 40 ya wateja wangu ni wanawake wakiarabu na wanafanya biashara huko mjini
Jiangalie, utakuwa na shida ya saikolojia
 
Jiangalie, utakuwa na shida ya saikolojia

Itumie shida yangu ya kisaikolojia kutoa hoja zenye nguvu kuliko zangu.

Embu eleza sababu tatu kuu zenye mashiko kama Mtu asiye na shida ya kisaikolojia. Eleza kwa nini Binti yako asifanye Kazi ya uzalishaji?

Nakusikiliza
 
Sawa ntatumia Torati
Kutoka 20:8-11

Kutoka 20:8-11​

Kutoka 20:8-11 BHN​

BHNSUVNenoSRUV
“Usisahau kuiweka takatifu siku ya Sabato. Siku sita fanya kazi na tenda mambo yako yote. Lakini siku ya saba ni Sabato ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwanao, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala watumishi wako wa kike, wala mnyama wako wa kufugwa, wala mgeni aliye nyumbani mwako. Maana kwa siku sita mimi Mwenyezi-Mungu niliziumba mbingu na dunia, bahari na vyote vilivyomo, kisha nikapumzika siku ya saba. Kwa hiyo mimi Mwenyezi-Mungu niliibariki siku ya Sabato, nikaitakasa.

Aya hizi kuna amri mbili, amri ya IBADA ya Kufanya Kazi kwa siku sita.
Amri ya pili ni mapumziko kwa siku ya sabato.

Amri zote hizo kaamrishwa Mwanadamu bila kujali ni wakike au wakiume.

Amri hiyo IPO kwenye amri kumi za Musa alizopewa Pale mlima Sinai.
Kuna shida mahali. Nakushauri tu uachane na masuala ya kisaikolojia
 
Kuna shida mahali. Nakushauri tu uachane na masuala ya kisaikolojia

Sasa mtu mwenr shida na saikolojia unamshauri vipi aache masuala ya kisaikolojia badala ya kutibu tatizo lake la kisaikolojia?

Nimekuuliza hapo juu.
Eleza sababu tatu zenye akili utakazomzuia binti yako asifanye Kazi za uzalishaji
 
Ukipata mwanamke ambae yuko Iddle, Nashauri jaribu kumfundisha kushughurika, Ajue kufanya kazi, ajue kuingiza pesa...

Kama hataki huyo ni Mzigo hafai hata bure, Ushirikiano ni muhimu sana kwenye familia ...

Kuna wanaume wanaamini mwanamke ni pambo la nyumba.. HA!HA!HA halafu ni Wavivu, sasa sijui mwisho wa hii familia utakua vipi
 
Mon
Utanielewa Mkuu siku binti yako aliyeolewa ambaye ni mama wa nyumbani akifukuzwa au mumeo akifa alafu anawatoto na hawezi kuwatunza watoto wake aliowazaa.

Utanielewa ukiondoa ubinafsi
Sina ubinafsi wowote
halafu leta mifano isiyo na vitisho,

Jaribu kuwaza hawa wanaoenda kazini kinachopatikana anakwambia kabisa pesa ya mwanamke siyo ya familia lakin pesa yangu Mimi ni yetu wote Hadi ukweni sasa anafanya kazi ya nini
Au Ile pesa anaitunza itumike hadi nikifa ? maana Sisi umesema ndo huwa tunaanza
 
Siku mmetalakiana hasa nyie waislam au umekufa, Mkeo umemuacha na watoto watatu wadogo Nani atawalea hao watoto wako?

Au unawaza utamu kama kijana aliyebalehe mwenye uchu wa ngono?
Waislam wamemchukulia mwanamke kama kitu Special ni zaidi ya Thamani ya kito chochote kile na ndio maana kwenye kurithi yeye anachukua nusu ndugu wa kiume anachukua kamili ili huyu kaka amtunze dada yake mpaka anakufa hii kwanza inaonyesha kuna sehemu kuna shida katika utunzaji wa Mali kwa Mwanamke na ushahidi hesabu mabilionea wa Dunia alafu angalia wanawake ni wangapi kwa hiyo kiasili mwanamke si mtafutaji ni mtafutiwa mifano iko mingi ila umeamua kuleta mifano ambayo ipo kwenye uzoefu wako ila sio Akili
 
Siku mmetalakiana hasa nyie waislam au umekufa, Mkeo umemuacha na watoto watatu wadogo Nani atawalea hao watoto wako?

Au unawaza utamu kama kijana aliyebalehe mwenye uchu wa ngono?
Waislam wamemchukulia mwanamke kama kitu Special ni zaidi ya Thamani ya kito chochote kile na ndio maana kwenye kurithi yeye anachukua nusu ndugu wa kiume anachukua kamili ili huyu kaka amtunze dada yake mpaka anakufa hii kwanza inaonyesha kuna sehemu kuna shida katika utunzaji wa Mali kwa Mwanamke na ushahidi hesabu mabilionea wa Dunia alafu angalia wanawake ni wangapi kwa hiyo kiasili mwanamke si mtafutaji ni mtafutiwa mifano iko mingi ila umeamua kuleta mifano ambayo ipo kwenye uzoefu wako ila sio Akili
 
Waislam wamemchukulia mwanamke kama kitu Special ni zaidi ya Thamani ya kito chochote kile na ndio maana kwenye kurithi yeye anachukua nusu ndugu wa kiume anachukua kamili ili huyu kaka amtunze dada yake mpaka anakufa hii kwanza inaonyesha kuna sehemu kuna shida katika utunzaji wa Mali kwa Mwanamke na ushahidi hesabu mabilionea wa Dunia alafu angalia wanawake ni wangapi kwa hiyo kiasili mwanamke si mtafutaji ni mtafutiwa mifano iko mingi ila umeamua kuleta mifano ambayo ipo kwenye uzoefu wako ila sio Akili

Mabilionea wakike ni wachache kutokana na mfumo wa zamank ulikuwa kandamizi kwa wanawake.

Ni Sawa useme idadi ya maprofesa WA kike ni chache ukilinganisha na wanaume huku ukijua sababu ya jambo Hilo ni zamani mabinti walizuiwa kusoma pia mazingira ya Kazi nyingi za nyumbani kwa mabinti ni sehemu ya changamoto katika ufaulu wa mabinti.
 
Asili ipi unaizungumzia?

Kumjua au kutomjua mwanamke kuna uhusiano gani na HAKI yake ya kufanya Kazi kama MTU?

Swali zuri. Asili ya maumbile na majukumu yake. Mwanadamu ameumbwa na akawekewa majukumu yake kulingana na maumbile yake yalivyo.

Kuna haki na kufanana haki (wenyewe mnaita haki sawa, wakati kiuhalisia mnataka zifanane haki).

Kutokumjua mwanamke kupelekea wewe ukakosea katika kuweka jambo mahala pake. Uhusiano upo mkubwa sana, ndio maana umeandika uongo na upotevu.

Ukimjua mwanamke utajua tofauti ya majukumu yake na haki zake.
 
Kwa uelewa wako Kazi zote zinamadhila au zinatumia nguvu?
Kwa uelewa wako lakini.
Kumaanisha tangu kuzaliwa na mazingira yako wewe umekutana na kuzijua tuu Kazi zenye madhila, vurugu na zinazohitaji misuli?

Utafutaji wa pesa kwa ujumla wake kwa mwanamke una madhila. Kitendo cha yeye tu kutoka nje ya asili yake ni kosa na haijalishi anapata madhila au hapati. Lakini kwa kutoka kwake tu nje ya mfumo basi hakuna salama kwa namna yoyote ile. Madhila huwa ya kimaana na kihisia.

Swali la pili halina maana.
 
Back
Top Bottom