Wanaume matatizo mengine tunajitafutia wenyewe na yakitusibu tunaanza kulalamikia wanawake!

Wanaume matatizo mengine tunajitafutia wenyewe na yakitusibu tunaanza kulalamikia wanawake!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Ulishawahi kujiwekea vigezo vya huyo "ke" unayeenda kuanzisha mahusiano naye? Jiulize na jiridhishe anafanyakazi au shughuri gani ili aweze kuishi! Wengi wao hawana kipato chochote zaidi ya kudanga au kufanya ufuska wa chinichini.

Hana kazi! Hana biashara! Wengine wanaishi na jamaa mbali kabisa na familia alimozaliwa na ukija kizembe anajishikisha kwenye familia fulani ya kishua ili akupige! Ukiingia kwa "ke" wa dizaini hii umepigwa! Jiulize wewe mwenyewe jinsi ulivyopambana mpaka ukapata unafuu wa maisha uliyonayo! Is it worthy" kukaribisha "ke" katika maisha yako asiyejua hela inatafutwaje?

Yaani unakaribisha "ke" asiyejua thamani ya maisha! Hujui kazaliwa, kulelewa na kukuzwa katika mazingira yapi? alafu unazoa kisa eti nimempenda na vijisenti vya kuzugia unavyo? Naandika uzi huu nikiwa nimeshuhudia jamaa/marafiki zangu wengi wakilia baada ya kuingia migogoro na wenza wao lakini ukiangalia chanzo ni zoazoa bila kuwa makini! Bora uishi bila mke kuliko kuingia chaka na "ke" ndio sio! Wanaume tuwe serious!
 
Ulishawahi kujiwekea vigezo vya huyo "ke" unayeenda kuanzisha mahusiano naye? Jiulize na jiridhishe anafanyakazi au shughuri gani ili aweze kuishi! Wengi wao hawana kipato chochote zaidi ya kudanga au kufanya ufuska wa chinichini.

Hana kazi! Hana biashara! Wengine wanaishi na jamaa mbali kabisa na familia alimozaliwa na ukija kizembe anajishikisha kwenye familia fulani ya kishua ili akupige! Ukiingia kwa "ke" wa dizaini hii umepigwa! Jiulize wewe mwenyewe jinsi ulivyopambana mpaka ukapata unafuu wa maisha uliyonayo! Is it worthy" kukaribisha "ke" katika maisha yako asiyejua hela inatafutwaje?

Yaani unakaribisha "ke" asiyejua thamani ya maisha! Hujui kazaliwa, kulelewa na kukuzwa katika mazingira yapi? alafu unazoa kisa eti nimempenda na vijisenti vya kuzugia unavyo? Naandika uzi huu nikiwa nimeshuhudia jamaa/marafiki zangu wengi wakilia baada ya kuingia migogoro na wenza wao lakini ukiangalia chanzo ni zoazoa bila kuwa makini! Bora uishi bila mke kuliko kuingia chaka na "ke" ndio sio! Wanaume tuwe serious!
Mwanamke anatakiwa afanye kazi gani au biashara gani ili wewe u-date nae? Hao wanawake wenye kazi au biashara unayotaka waifanye wanawakilisha asilimia ngapi ya wanawake? Mwanamke akiwa na kipato ndo automatically unafikiri atakua mke bora kwako? No retreat no surrender
 
Mwanamke anatakiwa afanye kazi gani au biashara gani ili wewe u-date nae? Hao wanawake wenye kazi au biashara unayotaka waifanye wanawakilisha asilimia ngapi ya wanawake? Mwanamke akiwa na kipato ndo automatically unafikiri atakua mke bora kwako? No retreat no surrender
Look here! Kipato cha kujimudu mahitaji madogo kama dawa ya mswaki, sabuni, Taulo za kike, n.k, "ke" lazima awe na kipato cha kukidhi haja hizi za msingi! "Ke" anayeishi familia inayojiweza hakuna shida! Kama "ke" familia yake ni tiamaji tiamaji lazima huyo "ke" umkute akijishughulisha! Ndo ninaloongelea!
 
"Ke" wenye njaa ni kero kama huko jera au kuzimu! Yaani unakutana naye leo mara naumwa, njaa inaanza kuuma, nauli, mama anaumwa, simu, nguo, sabuni, kodi, gesi imeisha! Jamani! Utajiuliza asingekutana na wewe angekufa! Na wewe "me" utadhani punguani? Unaanza kugharamikia! Akafu cha ajabu akishakaa vizuri kwa gharama zako ndo anaanza nyodo na kujifanya matawi ya juu na kujipendekeza kwa wanaume wa level za juu! Kuna mmoja huyo nilimuokota chini! Kipindi hicho sijajitambua! Anakuja kwangu akitaka kuondoka anataka hela bodaboda wakati kuna dadadala kwa nauri ya 400/= kafika kwao! Akazingua na kupigia simu dereva tax aje amchukue! Dakika sio nyingi tax ikafika kaondoka! Nikampiga chini! Miaka 5 sasa ukimwangalia huyo dada utamuhurumia na ananitafuta eti anataka kunisalimia! Shiiitiiih!
 
Ujinga mwingine wa wabongo ni kusikia uchungu kwa mtu mwingine akitumia hela zake!

Hela mtu katafuta mwenyewe hajakuomba akienda kumpa ke we kwanini unaumia hivi? Si umuache na hela zake jamani.

Uzi mrefuuuuuuuu hakuna sehemu uliyosema wanakujaga kuomba hela zako kisha wanawapa ma ke wasio na kipato.

Nje ya mada:
Hivi keanini masikini wanaonaga tajiri akitumia hela zake anachezea hela?
 
Umesema kweli ila utapuuzwa, ila ukweli tunatakiwa tukaoe katika familia ambazo tunafaham maadili yao.
 
Ulishawahi kujiwekea vigezo vya huyo "ke" unayeenda kuanzisha mahusiano naye? Jiulize na jiridhishe anafanyakazi au shughuri gani ili aweze kuishi! Wengi wao hawana kipato chochote zaidi ya kudanga au kufanya ufuska wa chinichini.

Hana kazi! Hana biashara! Wengine wanaishi na jamaa mbali kabisa na familia alimozaliwa na ukija kizembe anajishikisha kwenye familia fulani ya kishua ili akupige! Ukiingia kwa "ke" wa dizaini hii umepigwa! Jiulize wewe mwenyewe jinsi ulivyopambana mpaka ukapata unafuu wa maisha uliyonayo! Is it worthy" kukaribisha "ke" katika maisha yako asiyejua hela inatafutwaje?

Yaani unakaribisha "ke" asiyejua thamani ya maisha! Hujui kazaliwa, kulelewa na kukuzwa katika mazingira yapi? alafu unazoa kisa eti nimempenda na vijisenti vya kuzugia unavyo? Naandika uzi huu nikiwa nimeshuhudia jamaa/marafiki zangu wengi wakilia baada ya kuingia migogoro na wenza wao lakini ukiangalia chanzo ni zoazoa bila kuwa makini! Bora uishi bila mke kuliko kuingia chaka na "ke" ndio sio! Wanaume tuwe serious!
Mzee mbona unatugusa mzee,tatizo unakua ushazaa nae halafu unajua fika hapa sio penyewe hapa naona kila aina ya upuuzi na ushenzi...nyie acheni nyie
 
Ujinga mwingine wa wabongo ni kusikia uchungu kwa mtu mwingine akitumia hela zake!

Hela mtu katafuta mwenyewe hajakuomba akienda kumpa ke we kwanini unaumia hivi? Si umuache na hela zake jamani.

Uzi mrefuuuuuuuu hakuna sehemu uliyosema wanakujaga kuomba hela zako kisha wanawapa ma ke wasio na kipato.

Nje ya mada:
Hivi keanini masikini wanaonaga tajiri akitumia hela zake anachezea hela?
Wakikujibu unidipu
 
Ujinga mwingine wa wabongo ni kusikia uchungu kwa mtu mwingine akitumia hela zake!

Hela mtu katafuta mwenyewe hajakuomba akienda kumpa ke we kwanini unaumia hivi? Si umuache na hela zake jamani.

Uzi mrefuuuuuuuu hakuna sehemu uliyosema wanakujaga kuomba hela zako kisha wanawapa ma ke wasio na kipato.

Nje ya mada:
Hivi keanini masikini wanaonaga tajiri akitumia hela zake anachezea hela?
We jifanye una hela sana kisa tu una demu unafukuzia humu, kasema kuna wadau wake wa karibu wamepigwa na kitu kizito
 
Kweli maisha magumu
Na uzuri nishakaa na jobless na nikashindwa sasa namtafuta mwenye kaajira hata akilipwa laki kwa mwezi inamtosha kusuka na mafuta kula niachie mimk
 
Back
Top Bottom