Kumbe lotion nayo inapurizwa?
Nini kinachokujulisha kwamba ni za kike?
Unakereka kwasababu zipi?
lol....!
Upo?
Nmekukosa.
Mi nimekukosa kidogo . .
Yani nimekununia tangu siku ukatae kujibu lile swali langu. Ngoja nikulipue kabisa kwamba we ni mmoja wa wanaopurizia lotion na perfume za kike.
Tafadhali usimripue hata kama anajipurizia lotion na perfume za kike...rol
9t 9t dearest!
Mi nimekukosa kidogo . .
Yani nimekununia tangu siku ukatae kujibu lile swali langu. Ngoja nikulipue kabisa kwamba we ni mmoja wa wanaopurizia lotion na perfume za kike.
hahahahahahaha mweh mbavu zangu nionee huruma!
Mwenzio hivi vilotion na pafyumu nilipewa dhawadi na mrembo eti kisa nilimwambia napenda anavyonukia lol....
Hivi Lizzy usiniambie bado unayo yale ya siku ile?
Ntafungua thread ya kukuomba msamahaa lol
Hahahahaha. . .
Kwahiyo na wewe ndio ukaona ujipurizie kabisa? Siungemwambia unapenda inavyonukia akiwa amejipurizia yeye?
Nakwambia, sijui kwanini nimejaliwa kumbukumbu. Ila mi sitaki samahani, nataka 'kajibu'.
Hahahahahahaha. . . .ngoja ukute hiyo lotion unayojipurizia kadondoshe caroraiti bila wewe kujua. Utashangaa unageuka pepsi mirinda.hayo si ndio matokeo ya kuingia kichwakichwa kwa hawa watoto wa uswazi! Nashukuru tu hakunipa carlolight lolz......
Wangu lile file ni bora tuchague adhabu unipe ila chichemi kitu, afu nakusemea kwa mod unataka kuchakachua sred ya watu!
Hahahahahahaha. . . .ngoja ukute hiyo lotion unayojipurizia kadondoshe caroraiti bila wewe kujua. Utashangaa unageuka pepsi mirinda.
We bana. . . haya kama umekataa katukatu. Ila jua nimenuna.
ah kesho narudi kwenye Vaseline yangu!
We nuna Kurwa atanipa dawa yako!
Ukiacha caroraiti utashangaa mziki wake, utakua na madoa.
Hhhhm . . . hawezi!!
Kumbe lotion nayo inapurizwa?
Nini kinachokujulisha kwamba ni za kike?
Unakereka kwasababu zipi?
Hahaha. . . labda utumie jiki ndo mambo yatakua mambo.madoa yakitoka ntapaka mafuta ya breki kama wanavyofanya watu wenye mautangotango!
Ok kama kurwa naye hakuwezi basi duh nmejiingiza kwenye kibarua kigumu zaidi ya nlvyofikiria, ntaongea na ma' big sisy Ashadii, hapo kwisha habari yako!