Wanaume: Mjue mwanamke kupitia Siri hii

Wanaume: Mjue mwanamke kupitia Siri hii

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,967
Mwanamke ni tabia.

Hata kama Mwanaume utakua unaeleweka vipi kwà mwanamke, kama tabia ya mkeo ni sifuri ni sawa na Kazi bure. "Maziganyanza" Mwili wa mwanamke umebebwa na tabia, na tabia ni sawa na ngozi.

Inasemekana ngozi iliyotumika kutengeneza umbile la mwanamke ilitoka kwenye moyo wa Mwanaume. Na ndio maana kwakua moyo una Kazi ya kusukuma Damu. Mwanaume akimuona au kumuangalia mwanamke kwà kumtamani tayari anakua kesha zini nae moyoni mwake.

Wanawake wanaijua siri hiyo, na ndio maana wanahaingaika kila uchwao kuboresha ngozi zao na kuvaa vibaya kuonyesha wanaume maumbile yao, pamoja na kutaka kujipitisha pitisha mbele yao waonekane. Au kukaa nao karibu.

Kwahiyo basi, kumbe ni rahisi sana kwà Mwanaume yeyote kuuteka mwili wa mwanamke kwasababu tu ya tabia ya huyo mwanamke, lakini si rahisi hata kidogo kuyateka matamanio ya moyo wake hata kama tabia ya huyo mwanamke ni nzuri au mbaya. Hili ni fumbo kubwa sana kwà wanaume na linahitaji Akili nyingi sana kulifumbua.

Conclusively, uzuri wa mwanamke ni tabia nzuri yenye moyo ulioridhika.

Wanaume ishini na wanawake kwà kutumia Akili, na sio kwà kutumia moyo. Mtaumiza mioyo yenu bure. Usikubali mwanamke akupande kichwani...mpe moyo wako tu but usimpe akili yako (macho yako), kamwe Usikubali kuwa kipofu.

Note: Bora kuishi na Mwanamke kwà kuwa kama kiziwi kuliko kuishi nae kwà kuwa kama kipofu, ni hatari sana.
 
Hahaha aisee, watawapasua vichwa
Mwanaume ni Kichwa. Na ndiye mwenye uwezo wa kukikanyaga kichwa cha nyoka.

Kama mwanamke akiingia ubia na nyoka. Target kubwa ya kumharibu na kumuua Mwanaume huwa ni kumpasua kichwa. Hili liko wazi kabisa.

Note: Target ya nyoka huwa ni kumuingia mwanamke aliye na Mahusiano na Mwanaume mwenye akili kubwa kwà lengo la kumpasua kichwa kabla ya yeye hajakanyagwa kichwa. #Timing
 
Inasemekana ngozi iliyotumika kutengeneza umbile la mwanamke ilitoka kwenye moyo wa Mwanaume. Na ndio maana kwakua moyo una Kazi ya kusukuma Damu....Mwanaume akimuona au kumuangalia mwanamke kwà kumtamani tayari anakua kesha zini nae moyoni mwake.
Inasemekana? Ni nani aliyesema hivyo? Wewe hiyo ngozi yako ilitumika kumtengeneza mama ako? Mbona mnapenda kuamini topics za kipuuzi puuzi
 
Ukichakata mbususu unapata Faida gani?
Tayari unakua umeishaingia kwenye record isiyofutika kirahisi.

Wapo ambao wamezaliwa kwà ajili ya kutochakata kabisa.


Na


Wapo waliozaliwa , wakachataka na kutokana mafundisho waliyoyapata , waliweza kufutwa kwenye orodha kwà Neema tu ya Mungu.


Na


Wapo waliozaliwa kwà kuchakata tu mpaka kifo
 
Tayari unakua umeishaingia kwenye record isiyofutika milele.

Wapo ambao wamezaliwa kwà ajili ya kutochakata kabisa

Wapo waliozaliwa , wakachataka na kutokana mafundisho waliyoyapata , waliweza kufutwa kwenye orodha kwà Neema tu ya Mungu.
Je hiyo record inakusaidiaje Katika Maisha yako ?
 
Mwanaume ni Kichwa. Na ndiye mwenye uwezo wa kukikanyaga kichwa cha nyoka.

Kama mwanamke akiingia ubia na nyoka. Target kubwa ya kumharibu na kumuua Mwanaume huwa ni kumpasua kichwa. Hili liko wazi kabisa.

Note: Target ya nyoka huwa ni kumuingia mwanamke aliye na Mahusiano na Mwanaume mwenye akili kubwa kwà lengo la kumpasua kichwa kabla ya yeye hajakanyagwa kichwa. #Timing
Imeandikwa wapi hii
 
Back
Top Bottom