Wanaume, mke kama huyu unamfanyaje?

Wadada waliomaliza vyuo huwa wanakua wamechezewa mno.

Na ukimpata ambae tayari kaajiriw ndo kabisaa.
 
Yeah ni kweli inatokea hio kwa baadhi ya watu,
Mdogo wangu mmoja tulisoma vidato yeye akiwa nyuma alifika udom akaruka ruka tayariii alivojifungua tu mama ake akachukua mtoto wakaenda kumficha na akaonywa eti nsije kuskia unasema una mtoto, na yule kijana alozaa naye akaonywa asije sema kama kazaa na binti yao, wachumba walikuwa wakija kuchumbia bahati nzuri bana hakuna siri ya wawili wakigundua kuna iyo siri wanamuacha
 
Mkuu wakati unaoa huja tushirikisha! Ngoma inogile umekuja kwa mjomba JF!
Ok don't worry kwa hilo povu hapo juu..
Ushauri nina wasiwasi hata hizo mimba sio zako. Hitisha kikao cha familia utoe ya moyoni..
Baada ya kikao utaamua kuishi na gaidi au muuaji..
 
Numbe copy and paste. Loh
 
Yaani mm nataka mtoto alafu ww hutaki na mbaya zaid unatoka mpaka mimba!! Sidhani kama anastahili kuendelea kuwa mke au ukute pengine hiyo mimba ni ya mchepuko .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…